Mpira Nigeria dakika 55 Nigeria 2 Egypt 1.
Wakuu hii ilikua prediksheni yangu ina
maanisha: Nigeria itaanza kupata goli la kwanza dk 55, na watashinda mechi kwa goli 2 kwa 1 dhidi ya Egypt.
Ni hayo tu.
Egypt 3 Nigeria 1
Nigeria walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kushinda hii mechi tatizo lao tokea 1994 world cup wanajifanya brasil na kuleta ubishoo kwenye mashindano makubwa. Ukiangalia kipindi cha kwanza Nigeria walikuwa wapo fit kila idara ila akili zao hazipo kwenye ushindi bali ni show up. Nafikiri kipigo hiki kitawaamsha kuwa haya ni mashindano na kila alikwenda Angola amekwenda kushinda.
Wapuuzi sana hawa wapopo wamewapa Misri ushindi wa chee kwa kutokuwa kwao na Ari. Wakipata mpira wancheza kama hawataki vile na wao ndiyo wanaongoza kumbe wapo nyuma.
Nigeria walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kushinda hii mechi tatizo lao tokea 1994 world cup wanajifanya brasil na kuleta ubishoo kwenye mashindano makubwa. Ukiangalia kipindi cha kwanza Nigeria walikuwa wapo fit kila idara ila akili zao hazipo kwenye ushindi bali ni show up. Nafikiri kipigo hiki kitawaamsha kuwa haya ni mashindano na kila alikwenda Angola amekwenda kushinda.
Wapuuzi sana hawa wapopo wamewapa Misri ushindi wa chee kwa kutokuwa kwao na Ari. Wakipata mpira wancheza kama hawataki vile na wao ndiyo wanaongoza kumbe wapo nyuma.