Anglo Gold ina nia ya kwenda arbitration

Anglo Gold ina nia ya kwenda arbitration

Kama umesoma vizuri article usingeweka neno madini yetu. Kwa mujibu wa MDA waliyosaini madini ni yao hivyo wanaenda kushtaki ili kupata ufafanuzi wa namna gani sheria mpya itaathiri uwekezaji wao.

Eti wanasema walitusaidia kufanya uwekezaji wakati Tanzania hata haijulikani duh. Wazungu Mungu anawaona, hata kama mliingia mikataba kwa kutulalia kwa nini hamtaki kubadilika sasa hivi tumeishabumbuluka?

True ni Yao si yetu.....wamesaini wenyewe
 
Shauri yenu but the big question is the Longest JPM can be in power is 10 years vinginevyo hapa kitanuka kinoma!
Wacha kutisha nyau!!! Wewe hata jina lako halisi umeficha badala yake unatumia la bandia hapa halafu unasubutu kutoa vitisho au nyie ndio wale mnaongea kwa nafsi za wengine!!
 
Ya
Tutashitakiwa sana mwaka huu. Sina uhakika kama tunao wanasheria mahiri wa kuweza kupambana na kupangua hii mikataba ya kimataifa tuliyoiingia kichwa kichwa na sasa tunajaribu kubadili gia angani.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Yaani humuamini mpaka prof kabudi!! Wise wewe ni chumvi kweli
 
Back
Top Bottom