Angekuwa wewe ungefanyaje?

Angekuwa wewe ungefanyaje?

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Kuna msela fulani ambaye tumekutana naye kesho jioni sasa huyo jamaa mama yake ni mimi tulikuwa tunaenda wote kwenye ile kanisa
Nilivyo kutana naye akaniomba tukae chini tuyamalize yale ya leo
Nilicheka saana maana niliona ni swala ambalo ni vigumu kumaliza
Mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda na mkono wake pale na kuweka
Mke wake na mimi ndo tulimsaidia pale chini kwake lakini kulikuwa hakuna maana yeyote maana mtu mwenyewe alikuwa ameshafariki juu chini
Ndivyo yalivyo kuwa ivo sasa hivi tuko barabarani hapa tunakula wote
 
Kuna msela fulani ambaye tumekutana naye kesho jioni sasa huyo jamaa mama yake ni mimi tulikuwa tunaenda wote kwenye ile kanisa
Nilivyo kutana naye akaniomba tukae chini tuyamalize yale ya leo
Nilicheka saana maana niliona ni swala ambalo ni vigumu kumaliza
Mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda na mkono wake pale na kuweka
Mke wake na mimi ndo tulimsaidia pale chini kwake lakini kulikuwa hakuna maana yeyote maana mtu mwenyewe alikuwa ameshafariki juu chini
Ndivyo yalivyo kuwa ivo sasa hivi tuko barabarani hapa tunakula wote
Mpaka huyu Rais amalize muda wake. Idadi ya wehu itakuwa kubwa Sana. Cheki na watu wa Milembe sister. Wanaweza kukusaidia
 
Kuna msela fulani ambaye tumekutana naye kesho jioni sasa huyo jamaa mama yake ni mimi tulikuwa tunaenda wote kwenye ile kanisa
Nilivyo kutana naye akaniomba tukae chini tuyamalize yale ya leo
Nilicheka saana maana niliona ni swala ambalo ni vigumu kumaliza
Mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda na mkono wake pale na kuweka
Mke wake na mimi ndo tulimsaidia pale chini kwake lakini kulikuwa hakuna maana yeyote maana mtu mwenyewe alikuwa ameshafariki juu chini
Ndivyo yalivyo kuwa ivo sasa hivi tuko barabarani hapa tunakula wote
Wewe si unasema ni Mzaire! Umeathirika
 
Nimesoma nikafika happened kwa kesho jioni nikachoka nikaachana kuendelea kusoma
 
0d5f89ba-4a54-48f8-813d-eebb4869c508.jpg
 
Huyu hajaandika kitu hapa. Nilisoma kwenye kitabu kimoja cha psychiatry kwamba "if someone is schizophrenic,he may speak for half an hour,,and you still will not know what they are talking about"
 
Back
Top Bottom