Angekuwa wewe ungefanyaje?

Angekuwa wewe ungefanyaje?

Aisee ni sawa na mtoto wa miaka miwili anachora katuni na hajui iweje anazungushazungusha tu.
 
Alie elewa anisaidie
Mambo ni mengi na muda ni mchache
JamiiForums1368630938.jpg
 
Kuna msela fulani ambaye tumekutana naye kesho jioni sasa huyo jamaa mama yake ni mimi tulikuwa tunaenda wote kwenye ile kanisa
Nilivyo kutana naye akaniomba tukae chini tuyamalize yale ya leo
Nilicheka saana maana niliona ni swala ambalo ni vigumu kumaliza
Mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda na mkono wake pale na kuweka
Mke wake na mimi ndo tulimsaidia pale chini kwake lakini kulikuwa hakuna maana yeyote maana mtu mwenyewe alikuwa ameshafariki juu chini
Ndivyo yalivyo kuwa ivo sasa hivi tuko barabarani hapa tunakula wote
kuna jamaa alikuwa naye kwenye mahusiano anataka wakutane kesho jioni ili wayamalize ila ni ngumu na alishagazwa sana maana huyo jamaa keshaoa mke lakini bado anampenda na huyo mke wa jamaa anamjua na wanasali kanisa moja kibaya zaidi huyo jamaa hana aibu anaweza kumdhalilisha
 
Back
Top Bottom