Yaani matajiri mna raha Sana, mpaka mna mda wa mapoziNaishiwa pozi
aisee nimeogopa sana i hope wapeshakupa vidonge vya usingiziKuna msela fulani ambaye tumekutana naye kesho jioni sasa huyo jamaa mama yake ni mimi tulikuwa tunaenda wote kwenye ile kanisa
Nilivyo kutana naye akaniomba tukae chini tuyamalize yale ya leo
Nilicheka saana maana niliona ni swala ambalo ni vigumu kumaliza
Mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda na mkono wake pale na kuweka
Mke wake na mimi ndo tulimsaidia pale chini kwake lakini kulikuwa hakuna maana yeyote maana mtu mwenyewe alikuwa ameshafariki juu chini
Ndivyo yalivyo kuwa ivo sasa hivi tuko barabarani hapa tunakula wote
😳😳😳 kumbe kiswahili ndo kigumu hivi?Kuna msela fulani ambaye tumekutana naye kesho jioni sasa huyo jamaa mama yake ni mimi tulikuwa tunaenda wote kwenye ile kanisa
Nilivyo kutana naye akaniomba tukae chini tuyamalize yale ya leo
Nilicheka saana maana niliona ni swala ambalo ni vigumu kumaliza
Mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda na mkono wake pale na kuweka
Mke wake na mimi ndo tulimsaidia pale chini kwake lakini kulikuwa hakuna maana yeyote maana mtu mwenyewe alikuwa ameshafariki juu chini
Ndivyo yalivyo kuwa ivo sasa hivi tuko barabarani hapa tunakula wote
TrueMpaka huyu Rais amalize muda wake. Idadi ya wehu itakuwa kubwa Sana. Cheki na watu wa Milembe sister. Wanaweza kukusaidia