Kwa kweli kwny kutumia mkwere hajawahi kua na noma na watoto wake.
Niliona interview ya watoto wa Balozi Mahiga aisee wale watoto hawajui kiswahili kabisaa wakianza kukutajia Suti za dingi yao na ma designer anazopendelea kuvaa mdingi + nguo za hao watoto ndipo utajua kwanini sisi wengine tunaitwa watoto wa wanyonge aisee.