Angamiza mbu kwa teknolojia ya kisasa

Angamiza mbu kwa teknolojia ya kisasa

TBS na TFDA wamekiona hicho kifaa kama kinakidhi matakwa ya...Hapa Kazi Tu, Mtaisoma namba,CCM ni ileile
 
ungetoa maelezo kutosha ningefarijika kununua lakin naona huko juu kwa juu saana
 
Unataka kuniambia, nikiweka hicho kifaa pembeni yangu, mbu ataacha kunifuata mimi afuate hicho kifaa, kweli aache damu afuate chuma?
 
Una mpango Wa kuniongezea bili ya Umeme kipindi hiki kigumu kiuchumi, bora kutumia neti yangu kuliko taa ya Umeme inayowaka usiku kucha ili kunasa mbu 5 waliopo chumbani.!
Nitaitafuta baada ya huu mdondoko Wa uchumi
 
Kwa dar mnapatikana wapi. Hafu nyoosha maelezo kuweka tu namba hakutoshi
 
Wabongo bwana!!!

Weka bei hadharani kijana. Au hujiamini na biashara yako?
Ndio maana napenda kwenda super market ambapo bei zipo hadharani sio hawa ambao kila mteja na bei yake.
 
Wabongo bwana!!!

Weka bei hadharani kijana. Au hujiamini na biashara yako?
Ndio maana napenda kwenda super market ambapo bei zipo hadharani sio hawa ambao kila mteja na bei yake.
Bei zetu zimeanzia elfu 60 ,80,100,120 kulingana Na size ya kifaa
 
kwa kweli ni gharama sana ukizingatoa malaria ni ugonjwa wa masikini
 
Nita kuwa wa mwisho kuamini na kununua? mtego wa Mbu? Kwa hiyo huko ndani kuna Harafu ya damu ya binadamu nini?
 
Back
Top Bottom