Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
Kuna usemi kwamba siku ya mwisho tunaenda Mbinguni, hatutaishi hapa Duniani
ANGALIZO:
1. Tutapishana na Yesu/Mungu? coz wanasema yesu akija......
2. Huko mbinguni hakuna dunia nyingine. Kama haipo je wapi tutatosha watu wote pamoja na waliokufa siku nyingi toka Mungu aiumbe dunia?
ANGALIZO:
1. Tutapishana na Yesu/Mungu? coz wanasema yesu akija......
2. Huko mbinguni hakuna dunia nyingine. Kama haipo je wapi tutatosha watu wote pamoja na waliokufa siku nyingi toka Mungu aiumbe dunia?