restore 1985
Member
- Dec 1, 2017
- 93
- 126
Habari za jioni wakuu...
Angalia uzoefu wangu huu wa kazi ambazo nilishafanya kisha kama inawezekana uniajiri.
1. Nimewahi fanya kazi kama Administration officer na Records. Nikatoka na uzoefu ufatao
- Kutengeneza petty cash na kuweza itumia ipasavyo
- Kutengeneza records chart kwa matumizi ya ofisi
- Kufanya kazi zote za ofisi kama secretary maana yake ofisi haikuhitaji kuajiri secretary
- Kufanya kazi zote za ofisi zinazohusiana na matumizi ya computer.
- Nilifanya kazi kama cashier.
Hapa ilikuwa ni kwenye kampuni la kukodisha magari.
2. Nimewahi fanya kazi kama mwalimu na kama mtu wa records wa shule
- Nilifundisha masomo ya sanaa civics, history, geography pia na Tehama. Nilifundisha kidato cha 2-4.
3. Nina uwezo wa kuandika makala mbalimbali za siasa, dini na mambo ya kijamii kama mahusiano na ndoa.
Elimu yangu ni degree moja ya Political Science and Public Administration.
Napatikana Dar es salaam. 0759 890 889 au 0787 429 104.
Nipo tayari kufanya kazi kwa mshahara ambao utakidhi mahitaji ya nauli na chakula kwa kuanza huku ukiangalia utendaji wangu wa kazi.
Asanteni sana.
Angalia uzoefu wangu huu wa kazi ambazo nilishafanya kisha kama inawezekana uniajiri.
1. Nimewahi fanya kazi kama Administration officer na Records. Nikatoka na uzoefu ufatao
- Kutengeneza petty cash na kuweza itumia ipasavyo
- Kutengeneza records chart kwa matumizi ya ofisi
- Kufanya kazi zote za ofisi kama secretary maana yake ofisi haikuhitaji kuajiri secretary
- Kufanya kazi zote za ofisi zinazohusiana na matumizi ya computer.
- Nilifanya kazi kama cashier.
Hapa ilikuwa ni kwenye kampuni la kukodisha magari.
2. Nimewahi fanya kazi kama mwalimu na kama mtu wa records wa shule
- Nilifundisha masomo ya sanaa civics, history, geography pia na Tehama. Nilifundisha kidato cha 2-4.
3. Nina uwezo wa kuandika makala mbalimbali za siasa, dini na mambo ya kijamii kama mahusiano na ndoa.
Elimu yangu ni degree moja ya Political Science and Public Administration.
Napatikana Dar es salaam. 0759 890 889 au 0787 429 104.
Nipo tayari kufanya kazi kwa mshahara ambao utakidhi mahitaji ya nauli na chakula kwa kuanza huku ukiangalia utendaji wangu wa kazi.
Asanteni sana.