Angalia soma chukua hatua

Angalia soma chukua hatua

duh, nafasi ya mpenzi wa kwanza ni kubwa sana kwenye lifestyle ya mapenzi hasa kama ulianza kwenye umri mdogo.


Umeongea point ya msingi sana lakini yenye ukweli nusu tu. Sometimes, mpenzi wa kwanza huwa hana nafasi wala umuhimu wowote kwenye lifestyle au maisha ya mtu.
 
Vapanga mdugu wane ITEGAMATWI?Hii yaweza kuwa story based in true story,nimeishi na naendelea kuishi nimeyaona zaidi ya haya.Can you imagine mtu kama huyu halafu anakuja kupata HIV then full blown AIDS,tena ile ya miaka 80's/90's ambayo mgonjwa aliyekua na kilo 100 anayekuja kuzikwa hata kwenye mfuko wa rambo anafit?Believe me,nimeona wadada/wakaka yakiwakuta hayo.Tujiombee na tuwaombee na wengine yasije tukuta/wakuta

Nimpanga wa kukaya! Zya nsiku? Nakubaliana na wewe kabisa binadamu tumekuwa na roho ya kinyama kuliko hata shetani!Kweli kabisa wapo watu yanawakuta tena mengine makubwa zaidi ya haya!
 
Nikifikiria sana hiki kiumbe kinachoitwa mwanaume huwa nafika mbali sana

bt huna budi kupiga moyo konde na kuendelea na maisha.Ila smtz wanaua mtu bila ya wao kujua

Dunia ndivyo ilivyo na Walimwengu wake waliomo ndani.
 
Back
Top Bottom