Wachina majanga!
MAJI YA MAFURIKO YAKIPITA KWA KASI KANDO YA DARAJA LA MTO MAGOLE WILAYA YA KILOSA NA KUFANYA MATUMIZI YA BARABARA YA DODOMA-MOROGORO KUSHINDWA KUTUMIKA KUTOKANA NA MAFURIKO KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA YALIYOTOKANA NA MVUA
KUBWA KUNYESHA MAENEO MBALIMBALI YA WILAYA HIYO MKOANI MOROGORO NA KUSABABISHA MABASI YA ABIRIA NA MALORI KUSHINDWA KUSAFIRI NA KULAZIMIKA KUZUNGUKA BARABARA YA MELELA, KIMAMBA KISHA DUMILA KUENDELEA NA SAFARI YA DODOMA LEO HUKU MAGARI MENGINE YAKIWA YAMEKWAMA.
MATUKIO NA VIJANA
Wachina majanga!
Serikali dhaifu ya CCM...
daraja limejengwa na wabrasil wakat wanajenga barabara ya Moro-Dodoma,
huyo mtoto achana nae,amekalia ushabiki tuuu
Kweli hatuna selikali kila kiongozi anajari masilahi yake
SERIKALI YA kisenge daraja la kisenge,viongozi wa kisenge
SERIKALI YA kisenge daraja la kisenge,viongozi wa kisenge
Kweli hatuna selikali kila kiongozi anajari masilahi yake
Hivi hili daraja limeshamaliza miaka miwili toka lijengwe? Wachina bwana...!
Wachina majanga!
Majanga ya asili (Natural Calamities) hayazuiliki, hata Marekani kunakosifika kwa utaalamu wa Uhandisi wa hali ya juu yanatokea. Kwa watu wenye uelewa mpana huu si wakati wa kulaumu CCM, CUF wala CHADEMA.Serikali dhaifu ya CCM...
Serikali dhaifu ya CCM...
Kwani ulitaka wafanye nini mkuu au kuna sera gani nzuri katika chama chako ambazo zinaweza kuzuia majanga ya asili kama haya?ccm na serikari yake mnafanya nini ? magufuri wenu c
Nadhani wewe ni majanga zaidi kuliko hao wachina. Daraja hili lina zaidi ya miaka 20 tangu lijengwe. Ushabiki bwana, ni sumu kuliko ya nyoka