Angalia Mwezi Ukipatwa Leo Jioni – Watch Lunar Eclipse Tonight

Angalia Mwezi Ukipatwa Leo Jioni – Watch Lunar Eclipse Tonight

Je umehamasika kuangalia leo tukio la Kupatwa kwa Mwezi

  • Ndiyo

    Votes: 20 76.9%
  • Hapana

    Votes: 5 19.2%
  • Ninahofu

    Votes: 1 3.8%

  • Total voters
    26
ni kweli kivuli kimeanza kuonekana upande wa kulia naona sasa science imeanza kua ya ukweli hongera waliotoa taarifa.
 
Kupatwa kwa mwez kuna faida gan au hasara gan maan tunafurahia kitu tusicho kifaham,me binafc cjui

Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu tumendelea kwa kufahamu na kukubali vitu ambavyo kabla tulikuwa hatuvielewi. Ubongo unafanya kazi baada tu ya kuelewa yale ambayo tulikuwa hattuyaewi maana hapo ndioi unapata mawazo ya kubuni matumizi yake na matumizi yake.

Kupatwa kwa Mwezi na Jua kunatufundisha mpangilio wa magimba ya angani na kasi zake na mifumo yake ambayo yatatuwezesha kukabili maisha yetu iwapo Dunia tutaishindwa.
 
ukiuangalia mwezi vizuri kuna mtu amebeba kuni
Endelea kuwaza; leo watakucheka ila kesho utaona vitu vya maana. Mawazo yote ni ya faida. Sema tu ufuatiliye ili kuhahikisha na uwe tayari kuyaacha iwapo itaonekana si kweli. Huo ndio mwenendo wa uchunguzo wa sayansi. Usiache kufikiria.
 
ni kweli kivuli kimeanza kuonekana upande wa kulia naona sasa science imeanza kua ya ukweli hongera waliotoa taarifa.
Asante kwa kufuatilia na kuhakikisha mwenyewe. Inatupa moyo kuendelea kutoa taarifa.
 
So amazing to feel the kivuli is our earth wow,... When I grow up I wanna work at NASA
In fact the best way to say is that it is OUR shadow that we are seeing on the Moon

Ni kivuli chetu tunachokiona Mwezini
 
Ndugu Mtaalamu naomba kujuzwa kuhusu hili jambo hapa nimeliona kwenye "Taarifa kwa Umma toka Hali ya Hewa"

Kwa ujumla kupatwa kwa Mwezi huwa hakuna athari kubwa katika hali ya hewa. Hata hivyo, kutokana na Mwezi, Dunia na Jua kukaa katika mstari mmoja, nguvu za uvutano huongezeka na hivyo kuweza kusababisha maji ya bahari kupwa na kujaa kwa kiasi kikubwa kuliko ilivyo kawaida.

Je kuna ukweli wowote hapo kwenye maandishi mekundu?
 

Attachments

Ndugu Mtaalamu naomba kujuzwa kuhusu hili jambo hapa nimeliona kwenye "Taarifa kwa Umma toka Hali ya Hewa"

Kwa ujumla kupatwa kwa Mwezi huwa hakuna athari kubwa katika hali ya hewa. Hata hivyo, kutokana na Mwezi, Dunia na Jua kukaa katika mstari mmoja, nguvu za uvutano huongezeka na hivyo kuweza kusababisha maji ya bahari kupwa na kujaa kwa kiasi kikubwa kuliko ilivyo kawaida.

Je kuna ukweli wowote hapo kwenye maandishi mekundu?
Yaap.nafikiri ungekuwa baharini usiku huu ungeona.au kesho nenda baharini.ukaone maji yalipo fikia usiku wa leo.
TUMUACHE MUNGU AITWE MUNGU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom