Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Wadau mie ni mpenzi wa jukwaa hili, but nna muda kidogo sikatizi mitaa hii.
Haya basi niwaache na hii ;
Shoga huyu veterani (kwa jina maarufu Jeifoo) alikua kakaa kitini nje ya nyumba anapoishi, mara kwa ghafla jirani yake Deo akawa anapita ikawa ;-
> Deo : Jeifoo nambie, vipi mambo.
> Jeifoo : Poa tu jirani nakuona uko kwenye mishemishe.
> Deo : Ni kweli namie nakuona umetulia umekaa umeweka na nne (mkao wa nne ni mkao maarufu mguu mmoja unaupandisha juu ya mwingine.)
> Jeifoo : Hii sio nne ni arobaini.
> Deo : Arobaini kivipi Jeifoo ? Mbona sikuelewielewi ?
> Jeifoo : Ndiyo ni 40 hii ya miguuni 4 na sifuri nimeikalia !
Haya basi niwaache na hii ;
Shoga huyu veterani (kwa jina maarufu Jeifoo) alikua kakaa kitini nje ya nyumba anapoishi, mara kwa ghafla jirani yake Deo akawa anapita ikawa ;-
> Deo : Jeifoo nambie, vipi mambo.
> Jeifoo : Poa tu jirani nakuona uko kwenye mishemishe.
> Deo : Ni kweli namie nakuona umetulia umekaa umeweka na nne (mkao wa nne ni mkao maarufu mguu mmoja unaupandisha juu ya mwingine.)
> Jeifoo : Hii sio nne ni arobaini.
> Deo : Arobaini kivipi Jeifoo ? Mbona sikuelewielewi ?
> Jeifoo : Ndiyo ni 40 hii ya miguuni 4 na sifuri nimeikalia !