Mkuu natamani sana kuupgrade S6 yangu lakini naona changamoto ni nyingi sana. Nikitaka unisaidie unanitoza bei gani au kama unajua mtu yeyote anaefanya hivyo unielekeze
Mkuu natamani sana kuupgrade S6 yangu lakini naona changamoto ni nyingi sana. Nikitaka unisaidie unanitoza bei gani au kama unajua mtu yeyote anaefanya hivyo unielekeze
Mkuu nimekujibu kwa hiyo model yako ni ngumu kupata stock rom itayokubali, otherwise utumie custom rom,ambayo ni process kidogo kuanza kuiweka..ila kama upo tayari nikupe procedure upambane nayo mwenyew