nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
huhuhuuuuuuu mzee Andrew is back nakumbuka kipindi fulani hapa jf nakula madini ya mtemi Kisandu nikienda facebook nakutana na madini ya Mzee Andrew nyerere hakika ilikuwa burudani sana naona he is back bado kidogo nafikiri tutamuona na mtemi kisandu hapa jamvini