Andrew Chenge, akiri kupokea TSh 1.6 bilioni

Andrew Chenge, akiri kupokea TSh 1.6 bilioni

"Nawashangaa mnalalamika Chenge kulipwa na Kampuni ya VIP au wamewafuata na kulalamika kwamba hayakuwa malipo halali," alihoji
Huyu mzee huwa ana kiburi katika majibu yake kwa serikali. Inabidi kuitoa CCM ili wapinzani wambane vizur
 
Hii post sasa hivi haiwezi kupata wachangiaji wengi kwa sababu group kubwa la wachangiaji ambao Ni chadema na ukawa kwa sasa hawawezi kuongelea ufisadi.

Rais na Mwenyekiti Taifa wa CCM alishasema hizo hazikuwa pesa za Umma! Namshangaa Chenge kuhojiwa!?


Wewe nawe unasemaje hapo!!!!
 
jme

Tatizo huyu Mh Chenge ne genius na kwa bahati mbaya sana hata hizo ajira zakupeana kwa hiyo hatuna wanasheria imara na wenye uwezo wakumtikisa hutu jamaa ukimtoa yeye hakuna mwanasheria mwingine anaye mzidi kwa uwezo kwa hiyo mfumo unampendelea. unless tuache kuajiri watoto wa bibi na mjomba ktk idara nyeti kama hizi ndio utamuweza Chenge. Bravo Mr Chenge your genius pamoja ni fisadi ila una akili.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo mfumo mzima wa ccm umeoza kabisa hakuna msafi.rushwa na ufisadi hautoisha tanzania bila ccm kuondoka madarakani
 
Kwa maelezo hayo aloyatoa huyo jamaa hili suala ndo limeisha na atachaguliwa tena kuwa Mbunge,What I guess alikua ana buy time kupeleka kesi mahakamani ili ajipange,now he's back na ameshamaliza kazi.Baraza la Jaji Msumi ni toothless.Mpaka sasa tulipaswa kujua wale waliohojiwa wamefanywa nini?ndo uje kwa Chenge,wanahijiwa wapokeaji na mtoaji hajahojiwa.Na Mkuu wa Majesh na Amiri Jeshi kasema si za umma.Hatar sana
 
Mimi ni ccm lakini hakyna mtu namchukia tanzania hii kama huyu Chenge, na hapo ndio natofautiana na ccm. Huyu mwizi kwanini hafukuzwi, linaiba halafu linaonyesha dharau kwa watz. Huyu ni wa kuua kabisa.
 
Tatizo huyu Mh Chenge ne genius na kwa bahati mbaya sana hata hizo ajira zakupeana kwa hiyo hatuna wanasheria imara na wenye uwezo wakumtikisa hutu jamaa ukimtoa yeye hakuna mwanasheria mwingine anaye mzidi kwa uwezo kwa hiyo mfumo unampendelea. unless tuache kuajiri watoto wa bibi na mjomba ktk idara nyeti kama hizi ndio utamuweza Chenge. Bravo Mr Chenge your genius pamoja ni fisadi ila una akili.

Hana ugenius wala nini katoa hoja dhaifu nawashangaa hawa wanasheria wanaoshindwa kumtia kwenye 18
 
Chenge ana akili sana..Hawa wanasheria wa tume makapi kabisa hawa
 
Back
Top Bottom