KaskaNi kweli...Gambo kwa sasa anajitahidi,lkn pengine anaendelea ila kwa tahadhari ya kutokuonekana kwenye vyombo vya habari
Gambo yuko vizuri kuna jirani wake huko kwenye mavito ya thamani alikuja moto tunashukuru mungu kaa roho cha hekima kameanza kumyemelea .Ni bora swala la historia ya mtu iangaliwe sio kumpa cheo kikubwa afanye majaribio kwenye maisha ya watu.