ComputersDAR
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 213
- 242
Upo wapi?Ninauza Laini za wakala m-pesa,tigopesa na airtel money kwa bei nafuu,kwabmahitaji wasiliana na 0712567954
Upo wapi?Ninauza Laini za wakala m-pesa,tigopesa na airtel money kwa bei nafuu,kwabmahitaji wasiliana na 0712567954
Kwenda kwenye company ni salama zaid kama utakua na vigezo vyote, ila ndo inachukua mda mrefu kupata line tofaut na mtaan unapata hapo kwa papo na jina la line litabadilishwa kama ukitaka kuwa katika jina lakoNaomba niulize maana matangazo kama haya yamekuwa mengi humu jf.
Hivi line hizo si huwa zinasajiliwa na hayo makampuni kwa MTU binafsi kwa ajili ya usalama wa Pesa zake?
Sasa kuna ugumu gani kwenda kuomba uwakala kwao hadi bei ziwe bargaining mtaani namna hii? Na jee ukinunua mtaani na ukawekeza fedha nyingi usalama ukoje kama hitlafu imetokea?
Ipo 150000Ya m.pesa sh ngp
uko wapi?Habari za majukumu wana JF? Kama kuna mtu anauza line ya TIGO PESA ani-PM tufanye kazi. Asante
hakuna shida yoyoteNaomba niulize maana matangazo kama haya yamekuwa mengi humu jf.
Hivi line hizo si huwa zinasajiliwa na hayo makampuni kwa MTU binafsi kwa ajili ya usalama wa Pesa zake?
Sasa kuna ugumu gani kwenda kuomba uwakala kwao hadi bei ziwe bargaining mtaani namna hii? Na jee ukinunua mtaani na ukawekeza fedha nyingi usalama ukoje kama hitlafu imetokea?
Dar-kimaraUpo wapi?
Upo Dar?Ipo 150000
njoo inboxDar-kimara
Mimi nitalipa mara kumi ya bei yako nitakupa Tsh.2,000/= badala ya 200/=Me ninayo nauza 200 npo dar
Ndio nipo darUpo Dar?
Bado unayo?ninayo mkuu serious nipo moro. check me thru 0628786228 ok