Mathayo Christopher
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 429
- 329
Mungu hakunyimi vyote mshara wetu wa kawaida ila ndoa zinatumiminikia chezea eduche wewe.
teh teh. Kumbe mpo wengiNilidhani mwanzisha Uzi ni Mwalimu wa Kike anatafuta mume acha nikimbilie kufungua. Nyooooooo
Hapana. Nadhani anamaanisha kuwa ukitafuta wanawake wanaoongoza kwa maadili mazuri sana, utakuja kukuta kuwa wanaoongoza katika kundi la wanawake wa namna hiyo ni wale wanaofanya kazi ya ualimu.
Mungu hakunyimi vyote mshara wetu wa kawaida ila ndoa zinatumiminikia chezea eduche wewe.
hakuna aliyenifurumusha, zaidi naona ni sawa na kwamba ulinitukana na kueleza mambo yasiyo na ukweli kuhusu mimi, ndio mana hukunijibu nilipojibu, na wala hukuchangia content ya mada iwe kwa kukosoa ama kuipinga kwa hoja zaidi ya kunishambulia mpaka nikashangaa as sikuwahi kukukejeri ama kukukwaza huku
Niruhusu nitangaze ndoa naona wameanza kukutolea mijicho....
mmmh! Naomba ukuwadi !!
Wewe ni janga tena sio dogo,janga la taifa
hahaha who are you boy?,hasira zote hizi ni kwakuwa tulikufurumusha jukwaa la elimu na mada zako nyiiingi!! Zisizo na utafiti ! Mmmh ulijua MMU kule? uwege unajipanga !!