BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,420
Nilikuwa sitaki kuingia kwenye huu mjadala wa Nan mwenye akili kati ya mtanzania na mkenya ila Sasa inanilazimu niingie kufungua mjadala huu iliodumu kwa muda mrefu.
Kuna matukio MAWILI yametokea Kenya na yamedhihirisha uwezo mdogo wa kufikili walionao WAKENYA.
Mtu anakwambia ufunge HADI ufe na unafunga hili kwa mtanzania huwezi kutoboa atakusikiliza na kukubaliana na ww ila atakula kwa Siri na utashangaa kuona hafi na anakwambia amefunga.
Nasema hivi siyo kwamba mchungaji wa aina hii TANZANIA hajawah kutokea hapana kwa mnaokumbuka mwka 2015 tukielekea kwenye uchaguzi Kuna mchungaji alijiyokeza akasema watu wafunge bila kunyws Wala kula kwa siku 40 Ili taifa lisiingie kwenye machagufuko anayoyaona mbele huyu hata waumin wake walifunga nae ila mwisho wa siku alikutwa amekufa yeye siku ya 36 huku hakuna hata muumini Mmoja aliyekufa.
Hii inamaanisha walimchora tu na kujifanya wamefunga nae kumbe hola akafa mwenyewe mpaka Leo watu wanaendelea kula ugali fresh.
Nakuja....
Kuna matukio MAWILI yametokea Kenya na yamedhihirisha uwezo mdogo wa kufikili walionao WAKENYA.
Mtu anakwambia ufunge HADI ufe na unafunga hili kwa mtanzania huwezi kutoboa atakusikiliza na kukubaliana na ww ila atakula kwa Siri na utashangaa kuona hafi na anakwambia amefunga.
Nasema hivi siyo kwamba mchungaji wa aina hii TANZANIA hajawah kutokea hapana kwa mnaokumbuka mwka 2015 tukielekea kwenye uchaguzi Kuna mchungaji alijiyokeza akasema watu wafunge bila kunyws Wala kula kwa siku 40 Ili taifa lisiingie kwenye machagufuko anayoyaona mbele huyu hata waumin wake walifunga nae ila mwisho wa siku alikutwa amekufa yeye siku ya 36 huku hakuna hata muumini Mmoja aliyekufa.
Hii inamaanisha walimchora tu na kujifanya wamefunga nae kumbe hola akafa mwenyewe mpaka Leo watu wanaendelea kula ugali fresh.
Nakuja....