Anayejua lolote kuhusu Chuo cha ARDHI????

Anayejua lolote kuhusu Chuo cha ARDHI????

kamandawasua

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2013
Posts
326
Reaction score
86
Yaani toka mwezi wa nne nimeapply NACTE ila mpaka leo nasubiri. Utazani nasubiri UZIMA WA MILELE.
Nimebadilisha machaguo mara zaidi kumi. Bado matokeo hayatolewi tuu.
Jamani kuna yeyote mwenye kujua uchaguzi wa chuo cha ardhi umetoka au ndo niendelee kusubiri mpaka lini?
Ni hayo tuu.
Wafuatiliaji.
 
Yaani toka mwezi wa nne nimeapply NACTE ila mpaka leo nasubiri. Utazani nasubiri UZIMA WA MILELE.
Nimebadilisha machaguo mara zaidi kumi. Bado matokeo hayatolewi tuu.
Jamani kuna yeyote mwenye kujua uchaguzi wa chuo cha ardhi umetoka au ndo niendelee kusubiri mpaka lini?
Ni hayo tuu.
Wafuatiliaji.

Kwani muda umeisha??subiri tuko makini ardhi,andaa ela yako tuu.
 
Yaani toka mwezi wa nne nimeapply NACTE ila mpaka leo nasubiri. Utazani nasubiri UZIMA WA MILELE.
Nimebadilisha machaguo mara zaidi kumi. Bado matokeo hayatolewi tuu.
Jamani kuna yeyote mwenye kujua uchaguzi wa chuo cha ardhi umetoka au ndo niendelee kusubiri mpaka lini?
Ni hayo tuu.
Wafuatiliaji.

kinaitwa Chuo Kikuu Ardhi sio chuo cha ardhi.
 
Ardhi unaingiaje pale!? Udahili wake kuupata ni TCU tu. no panyaroad
 
ha ha duh......vijana mnabishana nin....ARDHI huwa tunaangalia sura ili tukuchague.........mwenye sura mzuri ndio atapata....
 
Yaani toka mwezi wa nne nimeapply NACTE ila mpaka leo nasubiri. Utazani nasubiri UZIMA WA MILELE.
Nimebadilisha machaguo mara zaidi kumi. Bado matokeo hayatolewi tuu.
Jamani kuna yeyote mwenye kujua uchaguzi wa chuo cha ardhi umetoka au ndo niendelee kusubiri mpaka lini?
Ni hayo tuu.
Wafuatiliaji.

Nimekuja Mdogo wangu pole kwa majibu ya kijinga yote wachukulie km watu wacheshi tu
Majina ya waliochaguliwa Ardhi yalishatoka Tayari......km hujaliona subiri na second batch km halitakuwepo consider your self unsuccessfully.

Nitarudi hapa kwa swali lolote kuhusu ARU .
 
Nimekuja Mdogo wangu pole kwa majibu ya kijinga yote wachukulie km watu wacheshi tu
Majina ya waliochaguliwa Ardhi yalishatoka Tayari......km hujaliona subiri na second batch km halitakuwepo consider your self unsuccessfully.

Nitarudi hapa kwa swali lolote kuhusu ARU .

Izo zilizotoka ziko wap braza au ni part ya ucheshi wako na ww
 
Izo zilizotoka ziko wap braza au ni part ya ucheshi wako na ww

sasa hayo majina utayapata umu?? ushaambiwa yametoka tembelea website ya ARU chaap ukahakiki acha uvivu kama una jipu
 
Yaani toka mwezi wa nne nimeapply NACTE ila mpaka leo nasubiri. Utazani nasubiri UZIMA WA MILELE.
Nimebadilisha machaguo mara zaidi kumi. Bado matokeo hayatolewi tuu.
Jamani kuna yeyote mwenye kujua uchaguzi wa chuo cha ardhi umetoka au ndo niendelee kusubiri mpaka lini?
Ni hayo tuu.
Wafuatiliaji.

Endelea kusubiri tu ,coz nilisikia majina yaliungua so wameanza kazi upya ya kupanga majina, subiria subiria mwakani miez kama hii yatakuwa tayari
 
Nimekuja Mdogo wangu pole kwa majibu ya kijinga yote wachukulie km watu wacheshi tu
Majina ya waliochaguliwa Ardhi yalishatoka Tayari......km hujaliona subiri na second batch km halitakuwepo consider your self unsuccessfully.

Nitarudi hapa kwa swali lolote kuhusu ARU .
acha kupotosha wew umeshakuw mkubwa
 
Back
Top Bottom