Wahuni tu wale wapotezeHabarini Wana wa Mungu !!!!
Jamani, Naomba msaada kwa anayejua huduma ya VODACOM MGODI.
Inafanyaje kazi, Usalama wa pesa, Sheria zao, faida, Jinsi ya kuwekeza,...... na Mengineyo!!!
Tusaidiane, Mawazo Kidogo!!!
Ni kama kibubu tuu hamna jipyaVipi , Kuhusu kuwekeza ?
Kuna percent level ya fixed account , hakuna unono wwte , unafuu upo kwenye mkopo , wanapandisha viwango chap SanaUnaniacha njia panda , Yaan ukiweka humo hela hupati chochote ?
Ni asilimia 9.5% ya pesa yako Kwa mwaka ndo faida ,Samahani , Iyo Fixed Account ni miezi mingapi ? Je kwa mfano umeweka 100,000 utapata faida ya ngapi ?
Wanayo , hyo faida ya mwaka gawa Kwa 2 Kwa miez sita na gawa Kwa 4 Kwa miezi mitatuHawana ile ya Miezi 3 au 6 .........
Hii inaitwa roho mbayaWahuni tu wale wapoteze
USSR
Hvyo hvyo bossYaaani , kwa Mfano umeweka 1000,000 kwaka
9.5%×1000,000 =95000(faida ya mwaka )
95000 ÷12= 7,916 kwa kila Mwezi .....
Si , Ndio hivyo au Nimekosea ?
Kwamba waweza kopa bila kuwekeza?Kuna percent level ya fixed account , hakuna unono wwte , unafuu upo kwenye mkopo , wanapandisha viwango chap Sana