Anayefahamu Mishahara ya FINCA International

Anayefahamu Mishahara ya FINCA International

madaraja ni sawa na serikali kulingana na kiwango cha elimu,bt kuna kupata bonus kila mwezi na kupanda daraja kila mwaka,iyo itategemea na mchango wako kwa nafas yako though loan officer claimed to be na ugumu fulani,jst lyk sales position,unatafuta wateja and most of time unawafata
 
Kama ni loan officer nenda ukiwa tayari kufanya simple logical calculations na kama sales basi jua ni jinsi gan utamuaproach mteja na utatusaidia vp ili tuweze kuuza zaidi. UMEPIGIWA SIMU LINI MDAU?
 
Hawa FINKA nina wasiwasi nao sana, niliwahi kufanya kazi kwenye ofisi moja ambayo ni iko mjengo mmoja na hiyo taasisi ya FINCA. Wafanya kazi wake wapowapo tu hta uvaaji wao hauridhishi yaani ki ujumla hawapendezi na hawako smart wapo kinjaanjaa tu...ikanipa picha kwamba pesa wanayopewa itakuwa ni kidogo sana.
 
duuh kumbe kazi yenyewe hujaomba..nani kasema utapata, yaani unataka kujua mshahara kazi bado hujaitia mikononi...hatare wasomi wa siku hizi
 
Kuna jamaa angu ameacha kazi finca na kwenda kuajiriwa halmashauri nilipomuuliza kulikoni alinijibu kwa kifupi sana; FINCA SIYO MWAJIRI MZURI.
 
Back
Top Bottom