Anayefahamu kuhusu salary slips atujuze

Anayefahamu kuhusu salary slips atujuze

Tatemahunda

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
232
Reaction score
92
Salam wakuu
Mimi ni kijana Wa kitanzania na ni mfanyakazi katika wizara fulani hapa nchini, nataka nichukue mkopo benki mana kuna biashara nataka nianzishe. Tatizo Lipo kwenye salary slip mana tangu June hadi Leo hazijaja na biashara yenyewe ni marketable Kwa November na December. Sasa sijui nifanyeje ili kufanikisha ndani ya Oktoba

Natanguliza heshima kwenu
 
Fuatilia makao makuu ya mwajiri wako.
Au kama kuna mtu unamfaham huko, mtumie check namba ili akusaidie.
 
Mim nilifuatolia kwa mwajiri akasema tatizo lipo hazina' mashine inayotumika ku chapa salari slip imezingua toka mwezi June'
 
Chukua bank statement ya akaunti yako ya mshahara uipeleke kwa afisa utumishi wa idara yako aithibitishe ili uweze kuitumia badala ya salary slip
 
nenda hazina mkuu utazipata Mimi nimetoka kuchukua zangu za miezi mitatu mfurulizo BT nimesikia wataanza kutuma
 
Zimeshatoka za miezi mitatu..june,julai na augusti..aidha kama bado hazijafika nenda kwa ofisa utumishi muombe kupitia mfumo wa LAWSON anaweza kuiona salary slip yako na kuiprint..akisha print aicertify na unaweza kuitumia kwa ajili ya kuomba mkopo.
 
Huyu ni mwalimu afuate kwa mkurugenzi wake atazipata zipo
 
akhsante wakuu..lakini sipo kwenye wizara ya elimu bali ni wizara ya kilimo..
asanteni kwa kunipa mwanga....
 
Nenda na ya mwezi wa tano bank wanajua kuwa za june july august bado.mi nimeramba juzi juzi TPB
 
Back
Top Bottom