mbankasing'e waitu mkulu for quick replynyegez seminary! Mwanza
mbankasing'e waitu mkulu for quick reply
ungechangia mada fest then ukaponda. Ktk hilo umedhihirisha kuwa...... Hakuna cha ukabila bhana is the matter of mtizamoNyie watu mnapenda ukabila sana na sijui kama ipo siku nshomile atakuwa rais wa tz.
Mafinga Seminary ile inayomilikiwa na jimbo katoliki la Iringa but lazima uwe mkatolikiShaloom wapendwa.......
Natafuta shule ya advance SEMINARY YOYOTE yenye mchepuo wa sayansi esp.CBA o CBG .Niko tayari kutoa vocha via pm,kwa yeyote atakaye nipa details,nikimaanisha ni ipi na namba za rector if posibo.Iwe ya BOYS TU.