masara
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,738
- 2,279
Jirani nipo onlineUna kiba100, hivyo unawachafua tu tumbo, ndio maana wanaumwa
Jirani nipo onlineUna kiba100, hivyo unawachafua tu tumbo, ndio maana wanaumwa
Siku utakayokuwa na mood nzuri, mimi sitakuwa na mood😂 Kwahiyo maswali yako baki nayo tu
Nina maswali ya ghafla mawili yamenijia, ntakuuliza siku nikiwa na mood nzuri.
Dàlili ya UTIJamani mnisaidie mimi wanajamvi, mwanzoni niliona kama sio shida ila jana nimeshtuka sasa. Naona nikiwagegeda wasichana baada ya kumaliza mchezo tu wanaanza kulalamika kuwa tumbo linawauma.
Hili limeshawatokea na nyie jamani? hapa shida inaweza kuwa nini jamani wanajamvi.
Ushauri wenu.
Siku utakayokuwa na mood nzuri, mimi sitakuwa na mood Kwahiyo maswali yako baki nayo tu
Hem muulize na sie tupate faida hapa
Nina maswali ya ghafla mawili yamenijia, ntakuuliza siku nikiwa na mood nzuri.
Utakuwa umebeba booongeeee la infection, magonjwa ya zinaaa!!! Wee yasambaze tu.Jamani mnisaidie mimi wanajamvi, mwanzoni niliona kama sio shida ila jana nimeshtuka sasa. Naona nikiwagegeda wasichana baada ya kumaliza mchezo tu wanaanza kulalamika kuwa tumbo linawauma.
Hili limeshawatokea na nyie jamani? hapa shida inaweza kuwa nini jamani wanajamvi.
Ushauri wenu.
hamna bana mie ni average size tu hata sina muhogo wa jang'ombe. Ila UTI sidhani maana huyu wa sasa juzi tu alienda kupima hospitali
Mkuu huyu namjua ana chenga nyingi kwenye kujibu maswali, labda utumie more than 3hrs ndo utapata majibu, na leo siko kwenye mood nzuri.Hem muulize na sie tupate faida hapa
Kwa hiyo ulimnaniliu mgonjwa! Kumbe ndo maana aliumia
hamna bana mie ni average size tu hata sina muhogo wa jang'ombe. Ila UTI sidhani maana huyu wa sasa juzi tu alienda kupima hospitali
Check position. Ukute unang'ang'ana na zile zinazokita kunakoSize kawaida tu, sio hata ya kuumiza sijui shida nini hata
Ipi hiyo?haahhaha
nina size kawaida kabisaaa
wewe lazima mwenyeji wa mbagala kama unaishi Dar na ni mzaliwa wa Mtwara kama umetokea mkoani,msalimie njomba nchumari...Nkuu labda unamiliki N`guu wa Ntoto
Mhame huyo mood uende kwa fatuma!Mkuu huyu namjua ana chenga nyingi kwenye kujibu maswali, labda utumie more than 3hrs ndo utapata majibu, na leo siko kwenye mood nzuri.
Kwi kwi naona mnavopambanaSiku utakayokuwa na mood nzuri, mimi sitakuwa na mood Kwahiyo maswali yako baki nayo tu
Hili sio la kunambia yupo vizur mnoo sasa ivi namuangalia tuMkuu huyu namjua ana chenga nyingi kwenye kujibu maswali, labda utumie more than 3hrs ndo utapata majibu, na leo siko kwenye mood nzuri.
Hatupambani mkuu, bali tunaoneshana hali halisi ya maisha ya "Kutesa kwa zamu"Kwi kwi naona mnavopambana
Kasema hanaUtakuwa na mguu wa punda ww sio bure
Sawa sawa mpo vyemaHatupambani mkuu, bali tunaoneshana hali halisi ya maisha ya "Kutesa kwa zamu"