Anauliza: Kati ya hawa amuoe yupi?

Anauliza: Kati ya hawa amuoe yupi?

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
7,687
Reaction score
2,240
Kijana mmoja aliyeonja kabla hazijaiva anauliza amuoe nani katika ya hawa wapenzi(wachumba) watatu.
Yeye anawapenda sana wote ila
Mmoja kimwili ni mkubwa sana kuliko yeye ila kiumri ni mdogo. Anapotembea nae anaonekana mdogo hivyo anachekwa na marafiki zake. Pia tabia ya binti inaweza kutoendana na mama yake mzazi kwahiyo anadhani kutakuwa na kutokuelewa na mamaye.


Wapili anatamaa sana, akimuona mwanaume mwingine mwenye pesa na akitongozwa yeye anakubali tu. Huyu ameshawi kutembea na rafiki yake wa karibu na hata hivyo alivyomaliza haja yake akamuacha.

Watatu nae keshafanya ngono na kaka yake wa damu wakati yeye alipokuwa ameondoka nyumbani.

Wewe unamshauri amuoe yupi kati ya hawa watatu na yeye hataki kwingine.
 
Bora huyo wa kwanza,hao wengine ni jamvi la wageni.
 
Amwombe Mungu ampe mke mwema, maana mke mwema anatoka kwa Mungu. Hawa wote watatu ni majanga tu, atulie amwombe Mungu hatomnyima.
 
Kijana mmoja aliyeonja kabla hazijaiva anauliza amuoe nani katika ya hawa wapenzi(wachumba) watatu.
Yeye anawapenda sana wote ila
Mmoja kimwili ni mkubwa sana kuliko yeye ila kiumri ni mdogo. Anapotembea nae anaonekana mdogo hivyo anachekwa na marafiki zake. Pia tabia ya binti inaweza kutoendana na mama yake mzazi kwahiyo anadhani kutakuwa na kutokuelewa na mamaye.


Wapili anatamaa sana, akimuona mwanaume mwingine mwenye pesa na akitongozwa yeye anakubali tu. Huyu ameshawi kutembea na rafiki yake wa karibu na hata hivyo alivyomaliza haja yake akamuacha.

Watatu nae keshafanya ngono na kaka yake wa damu wakati yeye alipokuwa ameondoka nyumbani.

Wewe unamshauri amuoe yupi kati ya hawa watatu na yeye hataki kwingine.

Wote hawafai!
 
Hapa kunamuoaji kweli? Yani kabisa hicho ndo kinamfanya aje kuomba ushauri?

Okey ngoja nimshauri:

Kati hao watatu amuoe ambaye hawaziishi bila yeye, namaanisha yani ambaye anamwona kwake ndo mwazo na mwisho, kwa sababu sitaki kuamini kwa anawapenda wote sawa, ni kweli anawapenda but yupi anampenda zaidi.

Akiona kati yao wote hakuna atafute mwingine tofauti na hao.

Na pia awe mwanaume mwenye kujiamini aache kukuzuzuliwa na maneno ya watu.

Ni hayo tuuuu
 
Bora atafute mchumba mwingine na kama akishindwa basi huyo wa kwanza ni bora mara mia.
 
labda angekuepo wa nne ila hao wote ni tatizo
 
Dunia yote wanawake ni hao watatu tu?
 
awaache wote.......KUANZA MWANZO SIO UJINGA MJOMBA
 
Kijana mmoja aliyeonja kabla hazijaiva anauliza amuoe nani katika ya hawa wapenzi(wachumba) watatu.
Yeye anawapenda sana wote ila
Mmoja kimwili ni mkubwa sana kuliko yeye ila kiumri ni mdogo. Anapotembea nae anaonekana mdogo hivyo anachekwa na marafiki zake. Pia tabia ya binti inaweza kutoendana na mama yake mzazi kwahiyo anadhani kutakuwa na kutokuelewa na mamaye.


Wapili anatamaa sana, akimuona mwanaume mwingine mwenye pesa na akitongozwa yeye anakubali tu. Huyu ameshawi kutembea na rafiki yake wa karibu na hata hivyo alivyomaliza haja yake akamuacha.

Watatu nae keshafanya ngono na kaka yake wa damu wakati yeye alipokuwa ameondoka nyumbani.

Wewe unamshauri amuoe yupi kati ya hawa watatu na yeye hataki kwingine.
umenikumbusha John Mjema!
 
Last edited by a moderator:
Kijana mmoja aliyeonja kabla hazijaiva anauliza amuoe nani katika ya hawa wapenzi(wachumba) watatu.
Yeye anawapenda sana wote ila
Mmoja kimwili ni mkubwa sana kuliko yeye ila kiumri ni mdogo. Anapotembea nae anaonekana mdogo hivyo anachekwa na marafiki zake. Pia tabia ya binti inaweza kutoendana na mama yake mzazi kwahiyo anadhani kutakuwa na kutokuelewa na mamaye.


Wapili anatamaa sana, akimuona mwanaume mwingine mwenye pesa na akitongozwa yeye anakubali tu. Huyu ameshawi kutembea na rafiki yake wa karibu na hata hivyo alivyomaliza haja yake akamuacha.

Watatu nae keshafanya ngono na kaka yake wa damu wakati yeye alipokuwa ameondoka nyumbani.

Wewe unamshauri amuoe yupi kati ya hawa watatu na yeye hataki kwingine.

Mwambie aoe wote ili kuchanganya tabia. Hivi unafikiri rafiki yako ni Mwanamme????? Huyu atakuwa mvulana kwani jambo zito la kuchagua mke linapokutana na mwanamme haliitaji ushauri kutoka kwa 3rd part kwani ktk maisha hawa/hatutakuwepo. Mpe poleeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!! rafikiyo.
 
Kafa kaoza kwa hao watav na yeye hajaona wengine. Anataka mmoja tu kati ya ha6.

Basi kilichobaki tumzike kama kweli kafa na kuoza...

Ila kwa mtazamo wenye busara kuhusu ndoa, kitendo cha yeye kuziona hizo kasoro ulizoainisha na kushindwa kuzikubali basi hilo ni tatizo...

Akikosea kufanya maamuzi wakati huu, nafsi yake itaingia majutoni wakati ambapo hatakuwa na fursa ya kuamua kinyume na awezavyo kuamua sasa...
 
wakati mwenzako huyu analia na wachumba 30.. wewe unahangaishwa na watatu tu?

dah.. haya bwana!

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom