weka picha zao tukusaidie kumchagulia,Hapa kunamuoaji kweli? Yani kabisa hicho ndo kinamfanya aje kuomba ushauri?
Okey ngoja nimshauri:
Kati hao watatu amuoe ambaye hawaziishi bila yeye, namaanisha yani ambaye anamwona kwake ndo mwazo na mwisho, kwa sababu sitaki kuamini kwa anawapenda wote sawa, ni kweli anawapenda but yupi anampenda zaidi.
Akiona kati yao wote hakuna atafute mwingine tofauti na hao.
Na pia awe mwanaume mwenye kujiamini aache kukuzuzuliwa na maneno ya watu.
Ni hayo tuuuu
