Anathamini mpira kuliko hisia zangu, naombeni ushauri

rizyanney

Member
Apr 19, 2017
11
11
Nipo kwenye mahusiano kwa muda mrefu, kiasi kwamba tunafahamiana vizuri, mimi na mpenzi wangu, nipo likizo nimekuja kumtembelea mpenzi wangu cha kushangaza amekuwa akiondoka usiku eti anaenda kuangalia mpira.

Kinachonishangaza siyo kawaida yake ni tabia tu iliyoibuka ghafla, nimejaribu kumwambia na kumwelesha kitu anachonifanyia siyo kizuri coz kuna muda unahisia na mwenzako lakini ndo hivo anathamini mpira kuliko hata mimi.

Ukweli nakata tamaa kabisa, kwani malengo yetu nikuoana, naumia sana mtu anaponyanyasa hisia zangu.
 
Nipo kwenye mahusiano kwa muda mrefu, kiasi kwamba tunafahamiana vizuri, mimi na mpenzi wangu, nipo likizo nimekuja kumtembelea mpenzi wangu cha kushangaza amekuwa akiondoka usiku eti anaenda kuangalia mpira.

Kinachonishangaza siyo kawaida yake ni tabia tu iliyoibuka ghafla, nimejaribu kumwambia na kumwelesha kitu anachonifanyia siyo kizuri coz kuna muda unahisia na mwenzako lakini ndo hivo anathamini mpira kuliko hata mimi.

Ukweli nakata tamaa kabisa, kwani malengo yetu nikuoana, naumia sana mtu anaponyanyasa hisia zangu.
 
tu u
FB_IMG_1492463600194.jpg
 
Haupaswi kukata tamaa...
Wemuuluze maswali mawili tu,
Anapenda mpira ama anakupenda wewe?
Akileta jeuri pigachini huyo akufai, maana yawezekana hua anaenda kutazama mpira kama huu...
images-3.jpg
 
Nipo kwenye mahusiano kwa muda mrefu ,kiasi kwamba tunafahamiana vizur Mimi na mpenzi wangu, nipo likizo nimekuja kumtembelea mpenzi wangu cha kushangaza amekuwa akiondoka usiku et anaenda kuangalia mpira, sasa kinachonishangaza siyo kawaida yake in tabia tu iliyoibuka ghafla, nimejaribu kumwambia na kumwelesha kitu anachonifanyia siyo kizuri coz kuna muda unahisia na mwenzako lkn ndyo hivo anathamini Mpira kuliko ht Mimi ,ukweli nakata tamaa kabisa,kwani malengo yetu nikuoana,naumia sana MTU anaponyanyasa hisia zangu,
Hizo hisia bora mzifanye mchana ili usiku asikose game la Juve vs Barcelona
 
...amekuwa akiondoka usiku et anaenda kuangalia mpira, sasa kinachonishangaza siyo kawaida yake in tabia tu iliyoibuka ghafla, ....,

A man has to have a passion. Vyema kusikia amekueleza anapenda mpira. Umemsupport? Ama ni vita unampiga 24/7?

Kama ni Basketball, kuna NBA playoffs.
Kama ni football, kuna UEFA Champions League.... (na kadhalika)
Fanya homework; elewa anapenda nini haswa. Jifunze kuhusu siku za game pamoja na time. Zaidi, mbona usiende naye hata siku moja au Mr Man amesema mpira hauhitaji mashabiki wa kike?

Utalalamika May hadi August msimu wa mpira ukiisha eti he is spending too much time with you?
 
A man has to have a passion. Vyema kusikia amekueleza anapenda mpira. Umemsupport? Ama ni vita unampiga 24/7?

Kama ni Basketball, kuna NBA playoffs.
Kama ni football, kuna UEFA Champions League.... (na kadhalika)
Fanya homework; elewa anapenda nini haswa. Jifunze kuhusu siku za game pamoja na time. Zaidi, mbona usiende naye hata siku moja au Mr Man amesema mpira hauhitaji mashabiki wa kike?

Utalalamika May hadi August msimu wa mpira ukiisha eti he is spending too much time with you?
Huo mpira ni leo ndyo umeanza,?? Yaani nimekuwa nae kipndi kirefu cjawahi muona anafanya hizo mambo,,,,af pia mechi zote ni ucku tu ??
 
Hapana hapana dada unakosea sana, mpira ni sehemu kubwa sana ya starehe yetu wanaume, hebu fikiria real madrid vs bayern munich hivi kidume naachaje game kama hiyo inipite:
1. Tambua mwenzako anapenda nini, kumzuia asiende kwakuwa we unahisi anakudharau hapo utakuwa unamnyima uhuru na atakuchoka mapema maana itakuwa hata akibaki wala akili yake haipo hapo akisikia watu wanashangilia atashtuka na kuwaza sijui nani kafunga, mwache awe huru uzuri wa mpira watazamaji 99% ni wanaume, hivyo no shaka kuwa atakutana na vidada.
2. Kwakuwa ushajua anapenda mpira basi fanya mazingira kuhakikisha mnanunua king'amuzi kiwepo nyumbani au mnavuta cable kama ipo ktk eneo mlilopo ili mpira aangalizie home.
3. Usimnyime nafasi ya kufurahia mambo kama haya kwani ye kama mwanaume lazima awe na uhuru wa kukutana na wanaume wenzake jamaa zake na ktk mpira ni sehemu ya kukutana sana, pia mpira sio kila leo na kwa weekend na katikati ya wiki mara chache
 
Hebu punguza wivu na wewe kwani akienda harudi. Tafuta njia ya kujiridhisha ili upunguze huo wasiwasi ikibidi kama upo radhi kuacha usingizi basi nenda naye ukaliwe na mbu.

Pia unatakiwa ujiongeze ikiwa siku zote yupo peke yake kama wa kwenda si anakwenda tena kwa nafasi tu. Hivyo amini unachoambiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom