gilldenu
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 2,914
- 3,002
Duh......
Nakushauri waone wazazi wake, wajulishe kuwa huna future na Mtoto wao ila ulikuwa unajiburudisha tu wewe na rungu lako
Duh......
Nakushauri waone wazazi wake, wajulishe kuwa huna future na Mtoto wao ila ulikuwa unajiburudisha tu wewe na rungu lako
Wadau nina msichana nampenda sana na yeye ananipenda zaidi.
Ishu ni kwamba mapenzi yamekolea kiasi kwamba yamevuka matarajio yangu, mimi nilikuwa namchukulia kama msichana wa kula nae maisha tu huku tunakuwa.
Ila mwenzangu amekolea sana sana kiasi ameshanitambulisha kwa kila mtu wake wa karibu mpaka mama yake. Ameweka picha yangu kwenye kila account yake fb na insta ata Watsapp ameniweka dp.
Sasa wadau nachoomba mnishauri ni jinsi ya kuondoa hii hali kwake bila kuachana, nataka asiwe na mategemeo ya ndoa maana kwa marafiki zake na ndugu zake ni mchumba tayari japo sijawai mtamkia ilo.
Nimwambie nini bila kumkwaza na kuachana aelewe kwamba mupenzi yetu ni ya kupita tu.
Sababu kubwa ya kumuondoa kwenye future yangu ni tabia naona hatuendani mimi nimekuwa mtu wa kumvumilia kila siku, nahisi sababu ya malezi na mazingira ya makuzi hivyo naamuaga nimuelewe tu .
Kingine yeye akumaliza ata form four mimi nna elimu ya chuo hivyo tunakua na gap fulani kwenye maamuzi maongezi ata priorities za kimaisha.
Kuna kipindi nataka kumwacha ila namuonea huruma sababu alivyo kolea, na nikiendelea nae anazidi kudata na anategemea ndoa ndio inanukia.
Nishaurini nimweleshe vipi bila kugombana ata tukigombana tusiwe maadui tuwe marafiki wa kawaida , maana sitaki aondoke kwenye maisha yangu japo siitaji kumuoa.
Wadau nina msichana nampenda sana na yeye ananipenda zaidi.
Ishu ni kwamba mapenzi yamekolea kiasi kwamba yamevuka matarajio yangu, mimi nilikuwa namchukulia kama msichana wa kula nae maisha tu huku tunakuwa.
Ila mwenzangu amekolea sana sana kiasi ameshanitambulisha kwa kila mtu wake wa karibu mpaka mama yake. Ameweka picha yangu kwenye kila account yake fb na insta ata Watsapp ameniweka dp.
Sasa wadau nachoomba mnishauri ni jinsi ya kuondoa hii hali kwake bila kuachana, nataka asiwe na mategemeo ya ndoa maana kwa marafiki zake na ndugu zake ni mchumba tayari japo sijawai mtamkia ilo.
Nimwambie nini bila kumkwaza na kuachana aelewe kwamba mupenzi yetu ni ya kupita tu.
Sababu kubwa ya kumuondoa kwenye future yangu ni tabia naona hatuendani mimi nimekuwa mtu wa kumvumilia kila siku, nahisi sababu ya malezi na mazingira ya makuzi hivyo naamuaga nimuelewe tu .
Kingine yeye akumaliza ata form four mimi nna elimu ya chuo hivyo tunakua na gap fulani kwenye maamuzi maongezi ata priorities za kimaisha.
Kuna kipindi nataka kumwacha ila namuonea huruma sababu alivyo kolea, na nikiendelea nae anazidi kudata na anategemea ndoa ndio inanukia.
Nishaurini nimweleshe vipi bila kugombana ata tukigombana tusiwe maadui tuwe marafiki wa kawaida , maana sitaki aondoke kwenye maisha yangu japo siitaji kumuoa.
Fuata moyo wako, unakwambiaje mara nyingi moyo haudanganyiWadau nina msichana nampenda sana na yeye ananipenda zaidi.
Ishu ni kwamba mapenzi yamekolea kiasi kwamba yamevuka matarajio yangu, mimi nilikuwa namchukulia kama msichana wa kula nae maisha tu huku tunakuwa.
Ila mwenzangu amekolea sana sana kiasi ameshanitambulisha kwa kila mtu wake wa karibu mpaka mama yake. Ameweka picha yangu kwenye kila account yake fb na insta ata Watsapp ameniweka dp.
Sasa wadau nachoomba mnishauri ni jinsi ya kuondoa hii hali kwake bila kuachana, nataka asiwe na mategemeo ya ndoa maana kwa marafiki zake na ndugu zake ni mchumba tayari japo sijawai mtamkia ilo.
Nimwambie nini bila kumkwaza na kuachana aelewe kwamba mupenzi yetu ni ya kupita tu.
Sababu kubwa ya kumuondoa kwenye future yangu ni tabia naona hatuendani mimi nimekuwa mtu wa kumvumilia kila siku, nahisi sababu ya malezi na mazingira ya makuzi hivyo naamuaga nimuelewe tu .
Kingine yeye akumaliza ata form four mimi nna elimu ya chuo hivyo tunakua na gap fulani kwenye maamuzi maongezi ata priorities za kimaisha.
Kuna kipindi nataka kumwacha ila namuonea huruma sababu alivyo kolea, na nikiendelea nae anazidi kudata na anategemea ndoa ndio inanukia.
Nishaurini nimweleshe vipi bila kugombana ata tukigombana tusiwe maadui tuwe marafiki wa kawaida , maana sitaki aondoke kwenye maisha yangu japo siitaji kumuoa.
Ana umri gani?Wadau nina msichana nampenda sana na yeye ananipenda zaidi.
Ishu ni kwamba mapenzi yamekolea kiasi kwamba yamevuka matarajio yangu, mimi nilikuwa namchukulia kama msichana wa kula nae maisha tu huku tunakuwa.
Ila mwenzangu amekolea sana sana kiasi ameshanitambulisha kwa kila mtu wake wa karibu mpaka mama yake. Ameweka picha yangu kwenye kila account yake fb na insta ata Watsapp ameniweka dp.
Sasa wadau nachoomba mnishauri ni jinsi ya kuondoa hii hali kwake bila kuachana, nataka asiwe na mategemeo ya ndoa maana kwa marafiki zake na ndugu zake ni mchumba tayari japo sijawai mtamkia ilo.
Nimwambie nini bila kumkwaza na kuachana aelewe kwamba mupenzi yetu ni ya kupita tu.
Sababu kubwa ya kumuondoa kwenye future yangu ni tabia naona hatuendani mimi nimekuwa mtu wa kumvumilia kila siku, nahisi sababu ya malezi na mazingira ya makuzi hivyo naamuaga nimuelewe tu .
Kingine yeye akumaliza ata form four mimi nna elimu ya chuo hivyo tunakua na gap fulani kwenye maamuzi maongezi ata priorities za kimaisha.
Kuna kipindi nataka kumwacha ila namuonea huruma sababu alivyo kolea, na nikiendelea nae anazidi kudata na anategemea ndoa ndio inanukia.
Nishaurini nimweleshe vipi bila kugombana ata tukigombana tusiwe maadui tuwe marafiki wa kawaida , maana sitaki aondoke kwenye maisha yangu japo siitaji kumuoa.
Kwa mtoa mada:
Mshamba tu.... Huyo mtoa mada hamna kingine sasa wanachuo wenzake hakuwaona anadharauKwa mtoa mada:
kama hukunpenda kwa na anajua hana future nae kwa nini alinmtongoza...
Mapenzi hayajaribiwi wala hayapimwi, mwisho wa siku mwanamke anaweza kumfanyia kitu mbaya aone dunia chungu...
Alafu mtoa mada anajiona ni mtu wa class fulani hivi ya juu, sasa kwa nini kamtongoza mtu ambae yeye anamuona ni wa clasa ya chini. Si angetafuta wasomi wenzake...
Ni tabia mbaya na ni vibaya sana...