Maepenz ya kwel hayaangalii elimu ila kuliko kumpotezea muda boraw umwambie ukweli pengine wapo wenye malengo nae anawakataa kwa ajili yako ila pia utakuja mpata aliyefika chuo na nn na utasumbuka na pia wadada msikurupuke kumweka mpenz, boyfriend ,mchumba wasap cjui facebuku, histagram acheni mana wanaume wanajua kuigiza anaweza kukuandalia mazingira kua anafuture na ww kumbe anaitaji kupunguza uzito kiunon, ni vizur kumweka mume mana ata hao wachumba hua wanakimbia, pole yake Mdada ,anajua kapata mume Wa chuo, sa iv shule Nayo naona nikigezo chakuoa au kuolewaWadau nina msichana nampenda sana na yeye ananipenda zaidi.
Ishu ni kwamba mapenzi yamekolea kiasi kwamba yamevuka matarajio yangu, mimi nilikuwa namchukulia kama msichana wa kula nae maisha tu huku tunakuwa.
Ila mwenzangu amekolea sana sana kiasi ameshanitambulisha kwa kila mtu wake wa karibu mpaka mama yake. Ameweka picha yangu kwenye kila account yake fb na insta ata Watsapp ameniweka dp.
Sasa wadau nachoomba mnishauri ni jinsi ya kuondoa hii hali kwake bila kuachana, nataka asiwe na mategemeo ya ndoa maana kwa marafiki zake na ndugu zake ni mchumba tayari japo sijawai mtamkia ilo.
Nimwambie nini bila kumkwaza na kuachana aelewe kwamba mupenzi yetu ni ya kupita tu.
Sababu kubwa ya kumuondoa kwenye future yangu ni tabia naona hatuendani mimi nimekuwa mtu wa kumvumilia kila siku, nahisi sababu ya malezi na mazingira ya makuzi hivyo naamuaga nimuelewe tu .
Kingine yeye akumaliza ata form four mimi nna elimu ya chuo hivyo tunakua na gap fulani kwenye maamuzi maongezi ata priorities za kimaisha.
Kuna kipindi nataka kumwacha ila namuonea huruma sababu alivyo kolea, na nikiendelea nae anazidi kudata na anategemea ndoa ndio inanukia.
Nishaurini nimweleshe vipi bila kugombana ata tukigombana tusiwe maadui tuwe marafiki wa kawaida , maana sitaki aondoke kwenye maisha yangu japo siitaji kumuoa.
Acha kutoa hela love itayeyuka kama barafu mpaka ushangae, sitisha mpunga uoneNa mimi ndio nilitaka ajiongeze mwenyewe ila hausomi mchezo. Sasa love anayonionyesha najiskia guilty moyoni.
Mbona mkuu na wewe umedharau chuo cha watu na taaluma za watu?Chuo chenyewe utakuta tumaini af unasomea education. Acha dharau kwa mdada wa watu
Sikwambii muowe na wala sitosema usiowe, nakuelewa sana juu ya vitu unahisi vitakutesa. Kwenye ndoa kuna changamoto nyingi sana lazima uzikabili kama unavyo yakabili maisha ya kawaida.Ananipenda sana lakini kuishi nae ndio roho imekataa, kuna vitu naona vitanitesa Mimi.
duuuuuu nimejikuta nacheka kwasauti japo usiku wa mananeMwambie tu kuwa umejitathmini mwenyewe kwa tabia zako za Kitukutu ulizonazo umeona hutamfaa na kama akizidi kukung'ang'ania kutaka kuolewa na Wewe mtishie kwa kumwambia kuwa una rekodi mbaya za Kiuhalifu na kwamba hivi sasa unajuta kumpoteza Ben Saanane, kisha unajuta kumtesa Roma Mkatoliki na hivi majuzi tu ulikuwepo katika tukio baya la Kibiti hivyo kama atavumilia basi Mkuu huyo atakuwa ni halali yako kutoka kwa Maulana ila nina uhakika kwa huo mkwara ukimpa nadhani hapo mtakapokuwa mmekaa Watu wanaweza kudhani Mwanariadha Usain Bolt amekuja kufanya mazoezi yake ya maandalizi ya Olympic kwa jinsi atakavyotimua mbio kwa kuogopa kuwa pengine na yeye asije kuwa the NEXT.
duuuuuu nimejikuta nacheka kwasauti japo usiku wa manane
Mbona njia ya kuachana ni rahisi sana kata mawasiliano nae tu ila jiandae kuopoa garasa.Wadau nina msichana nampenda sana na yeye ananipenda zaidi.
Ishu ni kwamba mapenzi yamekolea kiasi kwamba yamevuka matarajio yangu, mimi nilikuwa namchukulia kama msichana wa kula nae maisha tu huku tunakuwa.
Ila mwenzangu amekolea sana sana kiasi ameshanitambulisha kwa kila mtu wake wa karibu mpaka mama yake. Ameweka picha yangu kwenye kila account yake fb na insta ata Watsapp ameniweka dp.
Sasa wadau nachoomba mnishauri ni jinsi ya kuondoa hii hali kwake bila kuachana, nataka asiwe na mategemeo ya ndoa maana kwa marafiki zake na ndugu zake ni mchumba tayari japo sijawai mtamkia ilo.
Nimwambie nini bila kumkwaza na kuachana aelewe kwamba mupenzi yetu ni ya kupita tu.
Sababu kubwa ya kumuondoa kwenye future yangu ni tabia naona hatuendani mimi nimekuwa mtu wa kumvumilia kila siku, nahisi sababu ya malezi na mazingira ya makuzi hivyo naamuaga nimuelewe tu .
Kingine yeye akumaliza ata form four mimi nna elimu ya chuo hivyo tunakua na gap fulani kwenye maamuzi maongezi ata priorities za kimaisha.
Kuna kipindi nataka kumwacha ila namuonea huruma sababu alivyo kolea, na nikiendelea nae anazidi kudata na anategemea ndoa ndio inanukia.
Nishaurini nimweleshe vipi bila kugombana ata tukigombana tusiwe maadui tuwe marafiki wa kawaida , maana sitaki aondoke kwenye maisha yangu japo siitaji kumuoa.
Hiyo hali huwa inatokea....mi nadhan huna experience na hawa viumbe, yeye kukupenda leo siyo guarantee ya kukupenda kesho...hata usipomuumiza siyo guarantee ya wewe kutoumizwa..fanya vile moyo wako unakwambia, huruma yako itakuponza kijana!!Naona watu mmeamia kwenye kumuonea huruma msichana. Ata mimi namhurumia ndio maana nikaomba ushauri hapa . Kiukweli moyo umekataa na sitaki kuishi kwa regrets hiyo ndoa itakuwa na matatizo kwa maono yangu