Prince Jackson
Member
- Mar 9, 2012
- 22
- 1
Mwe!! Mhhh
Ndoo viongozi wa CCM, siyo kusalimiana tu wanaona noma, bali pia haki ya kila m-Tanzania kupata huduma bora za kiafya, elimu, umeme, maji, usafiri pia wanaona noma.
sasa huyu naye anataka u-rais wa Tanzania.
View attachment 64519
sasa huyu naye anataka u-rais wa Tanzania.
View attachment 64519
sasa huyu naye anataka u-rais wa Tanzania.
View attachment 64519