Anataka turudiane

Mrudie mpasue kwa lulenge na wewe muache kimchepuko
 
Kuna namna umejiweka ndio inayompa faraja kwamba akikushinikiza sana mwishowe utakubali tu ombi lake. Hivi kama mimi hivi mtu anaanzaje kupata wazo la kutaka turudiane?. Anakuwa amesahau nini yaani?
 
MTU anapokuja kuomba ushauri bac kuna kitu ambacho amewaza ila anahitaji kujua kama yupo sahihi ama lah,

HAKUNA KITU KINALETA RAHA KAMA KUMUONA EX WAKO AKIWA ANANYONYOKA
Hapana si vizuri kufurahia anguko la binadamu mwenzako. Cha kufurahia ni kujua yale uliyopaswa kujua lakini yeye alikuwa anakuficha.
 
Katika mahusiano yangu na maisha yangu kitu nilichoshindwa ni Kurudiana na ex wanguu siweziii siwezii..
 
We ni kiazi kabisa
 
Mwanamke yeyote anayeweza kutoa mimba huyo sio mke achana naye
 
Huo upuuzi wako unaoeneza unasaidia nini
 
Hapo wewe endelea tu na maisha yako acha aishi ya kwake. Hata ukisema umpe nafasi nyingine hakutakuwa na furaha sababu imani yako kwake imepungua kama sio kuisha.

Utajikuta unaishi maisha yako kumchunguza tu kama kweli kabadilika, siku atakosea kosa dogo ila utajikuta unaoverreact cause ndio hivyo tena mnaishi maisha ya kutoaminiana bali kuviziana.
Siku utakapoamua sasa basi tayari ushapoteza muda mwingine so fanya maisha aisee. Hakuna win win situation hapo unless u move on.
 
Ukiona ivyo ujue uyo msanii choka mbaya ila nimegundua bado unampenda cha msingi fwata moyo wako
 
Ni utoto tu..

Ndio maana wanawake wanataka usawa.....kama kidume unashindwa kuamua jambo kama hili..

Achana na huyo mwanamke,,,atakuua na presha maana hujui unachokitaka bado.
 
Mwanamke yeyote anayeweza kutoa mimba huyo sio mwanamke anayefsa kuwa mke chapa amsha hakuna mke hapo, maana ukimwoa akapata lijamaa lingine haoni shida kukuua wewe ili awe na jamaa
 
A
Alitaka Nyerere awajengee shule, vyuo nk. Wakatoliki au wakristo kwa ujumla kila walipoweka kambi walihakikisha wanajenga kanisa hapo hapo shule ba hospitali sasa njoo kwao wamejenga madrasa pasipo kujenga hata chekechea hapo hapo afu lawama kwa Nyerere. Missionary na huduma za kijamii ni sawa na maisha na pumzi haviachani
 
Wewe ni mwehu sana, swala la kusoma mpaka sasa linaonekana, watoto wa wakristo wanapokwenda shule nzuri nyinyi mnawapeleka madrasa, mnawafundisha na kupigana karate, then mnakuja kulalamika Nini sasa? Jinga kabisa wewe
 
Si ndio hapo Mkuu?!!!.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…