Anataka tufanye mapenzi kabla ya ndoa

Safi sana gfsonwin !
Anzisha kitengo cha ushauri.
Wateja waanze kuhudhuria
 
Last edited by a moderator:

Uwiiiiiiiiiiiii jamani jina langu mie!!
Should I change my Id???
watu8 ebu pita hapa patna uone nilivyostaajabu! lol
 
Last edited by a moderator:
mpe taam bana , kwani ukimpa sasa(present) au mwakani(future) act ya kumpa si ni ile ile , peaneni bana mta enjoy balaaa
 
unajichanganya sana bibie, unaogopa kufanya mapenzi au ni msimamo wako mpaka ndoa
 
we unalako jambo huna lolote kinachokushinda ulidanganya hujawahi naniliwa kumbe tayari na ndo mana unamsukumia hadi mfunge ndoa ili hata akijua umemdanganya atakuwa tayar kakuoa.sahizi unapata pressure eti unaogopa?kama unaogopa unataka kuolewa ili iweje?
 
Ngoja ngoja yaumiza matumbo, mpe ale usije mletea vidonda vya tumbo bure
 
....ukimuoa afu akakuta hauna je?

Inaonekana kama utani lakini iliwahi kutokea! Msichana mmoja mrembo alilkuwa hana! Ilikuwa hivi, msichana huyo alizaliwa mlemavu wa sehemu za siri. Alikuwa na katundu kadogo tu ka kutolea mkojo lakini hakuwa ma kasoro nyingine yoyote na alikuwa mrembo sana maskini! Wanaume walikuwa wakimpaparikia wanamhonga hela, zawadi, kumtoa out ,n.k. Yeye alikiuwa mchangamfu na hakatai wanaume! Mwanaune akifika naye geto au gesti anampetipeti kama kawaida, kisses,caressing,nk. Akifika kwenye hitimisho, yaani kumvua nguo, anapotaka kuingiza anakuta ukuta mgumu. Akicheki vizuri anakuta kitu hakipo!!! Akimuuliza anasema ndivyo alivyozaliwa, mwanaume hapo anaishiwa pozi anaamua kupotezea. Kwa hiyo ulichosema Evelyn Salt ingawa ulikuwa unatania kinawezekana japo ni nadra sana.
 
Last edited by a moderator:
Mie nadhani sualabla mwakani eti ndio mfunge ndoa na kula tunda hapo ni uwongo tu mnapotezeana muda kama ni kumpa aone utamu wake na kama ni kuridhia akuridhie ulivyo siyo kuuziana mbuzi kwa gunia jamani, hujawahi ona warembo wengine hawaolewi kisa kasoro kibao.Mpe na mkafunge ndoa na si mwakani
 

.....mi nawashangaaga wanaonunua mbuzi kwenye gunia, mara unamfikisha nyumbani sio mbuzi.
unaezakuta hana, au analo oversize,au kaduchu sana, shida za nini sasa!!!
 
Endelea na msimamo wako huo huo, usifanye mapenzi kabla ya ndoa .......Mungu hapendi!
 
nafikiri kuna tatizo hapa, nyie yaonyesha bado kujitambua, ikiwa mnajitambua basi fanyeni hima kujitambulisha kwa familia kisha taratibu zifuate.. vinginevyo ni dhambi tupu!!
 
hiyo ndo habari ya mujini dada,we ni mlokole?mimi sijawahi kuona ndoa kabla ya kula tunda labda enzi hizoooooo za mababu zetu
 
Fanya bwana, experience muhimu kabla ya ndoa...! Ooho!
 
Kama wewe ni mwanak basi uko sahihi ila mshauri tu kama kweli anakupenda nawe wampenda aje kwa wazazi wako akuchumbie, baada ya process ya uchumba kukamilika hapo mnaweza kuamua chochote, lakini kama wewe ni mwanaume basi hakuna kusuburi ombi la mwanakei......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…