KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Jamani naomba ushauri wa kujenga tu!
STORI NI NDEFU KIDOGO TAFADHALI SOMA UPATE KUNISHAURI;
Kuna mdada mmoja alitokea kunipenda mpaka akanitamkia na kwa vile mimi sikuwa ktk mahusiano wakati huo nilimkubalia ila baada ya muda akaniambia kuwa ana mtoto wa kike ambaye alimzaa baada ya jamaa mmoja kumpa mimba kisha akaitaa nilimhoji sana mazingira ya mimba kukataliwa akasisitiza kuwa aliyempa mimba alimkataa yeye na mimba yake akasema nilikuwa muungwana sikuta kutoa mimba nikaamua kuzaa na kulea mtoto.
Sasa muda ulivyozidi kwenda huku mahaba yakikokelea kama treni la makaa ya mawe tulijikuta kwenye mahaba mazito sana. Ila mimi sikutaka kuwa mvivu wa kufikiri nikazidi fuatilia juu ya mtu aliyezaa naye baada ya muda nikaja kujua kuwa yule mzazi mwenzake alikuwa mchumba wake ambaye alifikia hatua ya kutoa mahari na kabla ya ndoa ndipo akawa amezaa naye mtoto huyo.
Safari ya mahaba haikusimama kwangu njiani humo humo nikaambiwa aliwahi kuishi na huyo jamaa na baada ya muda jamaa alibadirisha mwelekeo akaamua kuoa mtu mwingine. Nili hoji kama hadi ulilipiwa mahari wewe si mke wa mtu akakataa katakata kuwa yeye walikubaliana kuachana yule bwana akaja nyumbani kwao akutaka urudishiwe mahari yake alimua kusamehe akaandika barua kuvunja uchumba.
Kesi ya mtoto, jamaa anaonekana akumkataa mtoto ila walishindwa kuelewana jinsi ya kumtunza mtoto baba mtu anataka mtoto amchukue na mama mtu kakataa kwa madai mwanae atateswa kwa madai yule mke aliyeolewa alisha sema hamtaki huyo mtoto pale. Baba mtu akasema hatatoa ata senti kumtunza mtoto akiwa na mama yake alitia madai kuwa sasa hivi mtoto ana miaka mi 4 akasome boarding awe analipa huko mama hataki.
Sasa picha yangu na huyu mdada ikaanza hivi nikamwambia mbona uko kinyume na maelezo yako ya mwanzo kumbe mtoto baba yake anamtaka wewe tu ndiyo hutaki! Akaanza kulia na kunimbia kuwa yeye ni yatima hana baba wala mama amekuzwa na mjomba wake baada ya wazazi wake wote wawili kufariki.
Anadai eti yeye amekuwa kwa shida sana na hivyo akimwachia mtoto wake atateseka tena kama yeye. Anachodai kwenye mahusiano yetu nimuoe yeye na mtoto wake yaani hataki mtoto wake aende kwa baba yake nikimuuliza vipi mtoto atahudumiwa maana baba yake kagoma hawezi kumhudumia anasema huyu naye tutamhudumia kama wanetu wengine tutakaojaliwa na mola.
Mimi nikiangalia kuhudumia mtoto ambaye ana baba yake tena anakazi nzuri kiukweli napata ukakasi mara ya mwisho wamepelekana Ustawi wa jamii jamaa kakomalia msimo wake.
Naombeni ushauri wenu, stori ni ndefu, ila mwenzenu ndiyo tayari niko kwenye mahaba mazito sijielewi tena.
MAHABA NISHIKE NIFINYANGE NIPIGE GWALA NINYONGE MPAKA NIKUFE KABISA...!
STORI NI NDEFU KIDOGO TAFADHALI SOMA UPATE KUNISHAURI;
Kuna mdada mmoja alitokea kunipenda mpaka akanitamkia na kwa vile mimi sikuwa ktk mahusiano wakati huo nilimkubalia ila baada ya muda akaniambia kuwa ana mtoto wa kike ambaye alimzaa baada ya jamaa mmoja kumpa mimba kisha akaitaa nilimhoji sana mazingira ya mimba kukataliwa akasisitiza kuwa aliyempa mimba alimkataa yeye na mimba yake akasema nilikuwa muungwana sikuta kutoa mimba nikaamua kuzaa na kulea mtoto.
Sasa muda ulivyozidi kwenda huku mahaba yakikokelea kama treni la makaa ya mawe tulijikuta kwenye mahaba mazito sana. Ila mimi sikutaka kuwa mvivu wa kufikiri nikazidi fuatilia juu ya mtu aliyezaa naye baada ya muda nikaja kujua kuwa yule mzazi mwenzake alikuwa mchumba wake ambaye alifikia hatua ya kutoa mahari na kabla ya ndoa ndipo akawa amezaa naye mtoto huyo.
Safari ya mahaba haikusimama kwangu njiani humo humo nikaambiwa aliwahi kuishi na huyo jamaa na baada ya muda jamaa alibadirisha mwelekeo akaamua kuoa mtu mwingine. Nili hoji kama hadi ulilipiwa mahari wewe si mke wa mtu akakataa katakata kuwa yeye walikubaliana kuachana yule bwana akaja nyumbani kwao akutaka urudishiwe mahari yake alimua kusamehe akaandika barua kuvunja uchumba.
Kesi ya mtoto, jamaa anaonekana akumkataa mtoto ila walishindwa kuelewana jinsi ya kumtunza mtoto baba mtu anataka mtoto amchukue na mama mtu kakataa kwa madai mwanae atateswa kwa madai yule mke aliyeolewa alisha sema hamtaki huyo mtoto pale. Baba mtu akasema hatatoa ata senti kumtunza mtoto akiwa na mama yake alitia madai kuwa sasa hivi mtoto ana miaka mi 4 akasome boarding awe analipa huko mama hataki.
Sasa picha yangu na huyu mdada ikaanza hivi nikamwambia mbona uko kinyume na maelezo yako ya mwanzo kumbe mtoto baba yake anamtaka wewe tu ndiyo hutaki! Akaanza kulia na kunimbia kuwa yeye ni yatima hana baba wala mama amekuzwa na mjomba wake baada ya wazazi wake wote wawili kufariki.
Anadai eti yeye amekuwa kwa shida sana na hivyo akimwachia mtoto wake atateseka tena kama yeye. Anachodai kwenye mahusiano yetu nimuoe yeye na mtoto wake yaani hataki mtoto wake aende kwa baba yake nikimuuliza vipi mtoto atahudumiwa maana baba yake kagoma hawezi kumhudumia anasema huyu naye tutamhudumia kama wanetu wengine tutakaojaliwa na mola.
Mimi nikiangalia kuhudumia mtoto ambaye ana baba yake tena anakazi nzuri kiukweli napata ukakasi mara ya mwisho wamepelekana Ustawi wa jamii jamaa kakomalia msimo wake.
Naombeni ushauri wenu, stori ni ndefu, ila mwenzenu ndiyo tayari niko kwenye mahaba mazito sijielewi tena.
MAHABA NISHIKE NIFINYANGE NIPIGE GWALA NINYONGE MPAKA NIKUFE KABISA...!