Anataka mimi tu

WE MBONA KILA SIKU una naniii lakin kiuno chako akijapindia kwa mbele?

sijui kwanini tu hakijapinda na jinsi hamu yako isivoishaga mapema,
utaniua mtoto wa mwenzio,kila siku unataka tu!!!!!kha............
 
we kama unampenda hakikisha uko kwenye mtandao mmoja na yeye, mtwangie tu, kwani mbona si pesa nyingi, lakini hakikisha unatafuta njia ya kumfanya awe anatoa pesa ya crdt bila kujijua so wala haitakula kwako, na mtakuwa na amani.
 
we kama unampenda hakikisha uko kwenye mtandao mmoja na yeye, mtwangie tu, kwani mbona si pesa nyingi, lakini hakikisha unatafuta njia ya kumfanya awe anatoa pesa ya crdt bila kujijua so wala haitakula kwako, na mtakuwa na amani.

Unafundisha uchunaji?
 
Can be one of the two-Hakuna mapenzi hapo for sure kuna mtu mwengine anamkeep busy so you're not his priority-Keshajua unampenda zaidi yake au ni wale wadada wenye kero za 1000 calls a day
 
we kama unampenda hakikisha uko kwenye mtandao mmoja na yeye, mtwangie tu, kwani mbona si pesa nyingi, lakini hakikisha unatafuta njia ya kumfanya awe anatoa pesa ya crdt bila kujijua so wala haitakula kwako, na mtakuwa na amani.


Mimi tu?
 
Can be one of the two-Hakuna mapenzi hapo for sure kuna mtu mwengine anamkeep busy so you're not his priority-Keshajua unampenda zaidi yake au ni wale wadada wenye kero za 1000 calls a day

Mh utakuwa huna shughuli zingine?wala sio sana sana tatu kutwa ndio imezidi sana.
 
Angekuwa hataki ungelalamika anataka unalalamika.
Labda vocha ni tatizo. Hebu uwe unamtupia japo vijerojero uone.
 
Kila tunachokifanya tunatarajia malipo yaliyo sawa na tulichokifanya! inaelekea anaona kukupigia simu wewe kwake halipiiiiiiii kabisa! tafuta anampigia nani utapata jibu sahihi kwa nini hakupigii
 
Kila tunachokifanya tunatarajia malipo yaliyo sawa na tulichokifanya! inaelekea anaona kukupigia simu wewe kwake halipiiiiiiii kabisa! tafuta anampigia nani utapata jibu sahihi kwa nini hakupigii

oh oh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom