bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Halafu wee mutu umetupotezea wapi Dena wetu?
Yupo bana,
father house kampiga pini ya kufa mtu!
Halafu wee mutu umetupotezea wapi Dena wetu?
wewe bidada, kila siku tu unakonyeza konyeza,
angalia jicho lisije kuwa kengeza!
Abomination!!!!!!
Ratiba gani tena da Rose
Yupo bana,
father house kampiga pini ya kufa mtu!
Halafu wee mutu umetupotezea wapi Dena wetu?
WE MBONA KILA SIKU una naniii lakin kiuno chako akijapindia kwa mbele?
We ba BE mna kesi kubwa sana ya kujibu. Hahahaha.....baba mwenye nyumba kafunga mageti lol
ya kupigiana cm ati
Sasa kunaratiba bwana wee imenisaidia
Vp jamaa alisha fika nini au tayari mmesha malizana kimya kimya?
we kama unampenda hakikisha uko kwenye mtandao mmoja na yeye, mtwangie tu, kwani mbona si pesa nyingi, lakini hakikisha unatafuta njia ya kumfanya awe anatoa pesa ya crdt bila kujijua so wala haitakula kwako, na mtakuwa na amani.
we kama unampenda hakikisha uko kwenye mtandao mmoja na yeye, mtwangie tu, kwani mbona si pesa nyingi, lakini hakikisha unatafuta njia ya kumfanya awe anatoa pesa ya crdt bila kujijua so wala haitakula kwako, na mtakuwa na amani.
Can be one of the two-Hakuna mapenzi hapo for sure kuna mtu mwengine anamkeep busy so you're not his priority-Keshajua unampenda zaidi yake au ni wale wadada wenye kero za 1000 calls a day
Angekuwa hataki ungelalamika anataka unalalamika.
Labda vocha ni tatizo. Hebu uwe unamtupia japo vijerojero uone.
Kila tunachokifanya tunatarajia malipo yaliyo sawa na tulichokifanya! inaelekea anaona kukupigia simu wewe kwake halipiiiiiiii kabisa! tafuta anampigia nani utapata jibu sahihi kwa nini hakupigii