Mbadilikie...akikuuliza mbona hujanipigia unamwuliza mbona WEWE hujanipigia?Watu wa aina hiyo wanaboa...ila wengine ni tabia tu haina maana wewe sio muhimu kwake!Kama unaweza kaa kimya kama siku mbili au hata tatu uone kama hatakutafuta!
Jaribu kunipenda mimi, ntakupigia simu kila siku!
Aisee si kweli, niko siriaz!Halafu ukishamtafuna mara moja basi, nawe unabadilika na kuanza kuweka pozi! Dah!
Mwanamke uwe na pozi,usijitume sana ukaonekana desperate,tulia kidogo uone kama hakutafuti nafikiri you deserve better,muache mama utampata mwingine,kumbadili mtu ni ishu kubwa,kama hukubaliani na anachofanya,muonyeshe na umwambie.Hataki,hukupangiwa huyo songa mbele.
ni mwanaume huyo....
Aaah,huyo atakuwa marketing manager wa huo mtandao unaoutumia!!!Mpenzi wangu anataka kupigiwa sim kila siku yeye hapigi hata! nikiacha piga analalamika sana
Jaman haya mapenzi yamekaaje?
Dawa yake wewe chagua siku ambazo unaona huwa mnakuwa beneti sana na tafuta safari ya peke yako na ukifika huko kaa kimya bila kumtafuta hata kwa siku mbili,ukiona hajakutafuta basi ujue hana haja nawe na mapenzi yenu ni ya upande mmoja hivyo chukua hatua.
Ukianza jiuliza maswali mengi mwisho wake ni kujiumiza tu kichwa.
Kumbe jibu umeshalipata mpenzi sa nini kujiumiza kichwa? mpishe fasta kabla hajakupisha yeye utaumia zaidi
Jaribu kunipenda mimi, ntakupigia simu kila siku!
mmh
basi wekeanen ratiba
mmh
basi wekeanen ratiba
Naona kanchoka huyu!
wewe bidada, kila siku tu unakonyeza konyeza,
angalia jicho lisije kuwa kengeza!
Abomination!!!!!!