new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 815
- 1,713
- Thread starter
- #21
wanachuo wanadanganyika sana na maisha ya chuo...hawajui life linakaba vipi mtaan
We mwache waalaa usimpe mimba aje mtaani akae a year uone kama atadai mimba.Hapo kaona shoga yake anamimba basi nae anafata mkumbo....wazembe sana kufikiri hawa watu
Duh!!!!!!!!