Anataka mimba

Anataka mimba

Kwanini useme hii ni News Alert?
unamwalert nani sasa?
 
kama mwanamke anataka mimba unaomba ushauri wa kwenda kusaidiwa au
 
kwani wewe una ajenda gani na yeye!

Nilitaka aje awe mama watoto wange siku za baadae ila sio kwasasa na ndo maana sijataka hata kushiriki nae! But nashangaa kasi anayokuja nayo hasa kipind hiki anachokwenda maliza chuo!
 
Nilitaka aje awe mama watoto wange siku za baadae ila sio kwasasa na ndo maana sijataka hata kushiriki nae! But nashangaa kasi anayokuja nayo hasa kipind hiki anachokwenda maliza chuo!
basi mpotezee hakufai!
 
Hunaweza kuta Ana mimba ya mtu mwingine tayari anataka kukuvesha nyago...
 
Habarin za kwenu wana jamvi?? Matumaini mko poa! Jaman nina demu yuko pale ifm! Sasa ni miezi mitano nipo nae kama mpenzi! Na yupo mwaka wa tatu anamaliza mwezi sita! Sasa kwa sasa hv nimeanza kumuona ananisumbua! Maana kila wakat ananiambia anataka mimba eti anataka kuzaa, before wakati hatujawa wapenzi alikua anadai awezi zaa kabla ya ndoa! But kwa sasa ananisumbua sana yaan anataka ujazito ili mradi aitwe mama watoto wangu! Jaman ana ajenda gani ya siri nyuma ya hyo mimba?

Mtoto akililia wembe mpe!
 
wanachuo wanadanganyika sana na maisha ya chuo...hawajui life linakaba vipi mtaan

We mwache waalaa usimpe mimba aje mtaani akae a year uone kama atadai mimba.Hapo kaona shoga yake anamimba basi nae anafata mkumbo....wazembe sana kufikiri hawa watu
 
Back
Top Bottom