Erickson0708
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 207
- 34
Wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....
Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.
Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.
Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine
Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.
Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.
Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine