Anataka kusoma meseji zangu

Anataka kusoma meseji zangu

Huyo kkuacha hawez kwan hajaona chochote we mwambie akuamn sms haikua na ubaya wowote
 
Mwanamke Uliyekubali kwa Moyo Wako kua nae yupo huru kukagua na kusoma Chochote katika Simu yako na Ikibidi Hata Kulala Mpe tu akalale nayo. Ukiamua kuwa na Mmoja katika maisha yako mfanye awe yeye tu.
 
Ahhahaha brod darling it's true ni raha sana kuona watu wanapendana kwa dhati and kuna muda unatamani Sana fulani na fulani wawe pamoja, but inategemea wahusika watalichukuliaje hilo afu wenye kakipaji ka kuunganisha watu mpo wachache.

Huyu Paulo huyu, leo Sitaki hata kumuongelea teh. Tutamdiscuss kwenye next mkesha

nipo naangalia kwa mbaali, paulo Akiishia njiani natoa rushwa kwa Baba Mkwe Kaboom
 
Watu wengine hamjui hata kuchepuka..tumieni apps kama " audio manager" kuficha uchafu wenu
 
sasa na wewe kwanini ukumpa simu ili asome hiyo meseji?!
 
mods washughulikie mchakato wa jukwaa la watoto humu
 
acha umalaya sio sifa izo utakuja umuue mtoto wa watu bure
 
KAMA aliyekupigia n mchepuko mpe ukwel na kama alyekupigia n jambaz mwenzio mpe ukwel endapo unampenda kwel.NI AYO TU MKUU
 
Back
Top Bottom