Anataka azae nae watoto 3 tu

Anataka azae nae watoto 3 tu

mkulima gwakikolo

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2014
Posts
1,767
Reaction score
2,858
Wadau,

Kuna rafki yangu anadai kuna mwanamke ana umri wa miaka 34,huyu mwanamke ni mfanyabiashara na anajiweza kweli kweli.Alizaliwa peke yake kwa wazazi wake,na wamemwachia nyumba 4 na costa 3 na prado moja.

Huyu mwanamke amemganda rafiki yangu kwamba hataki chochote isipokua uzaowa watoto maana haoni mtu wa kumwondolea upweke kama watoto.Rafiki yangu ana mke na watoto wanne.

Vipi wadau hasa wanaume mnamshauri nini? Mwanaume huyu
 
kama anataka watoto majiniaz afanye juu chini anitafute

hii promo nilimpa Kasinde akachomoa
 
Last edited by a moderator:
wanawake wa aina hii ni hatari sana. Ukimzalisha tu apate idadi ya watoto anaotaka, ukurasa wa uhusiano na wewe unafutwa kabisa. na watoto inakuwa mali yake. hapo ndio utajua kuwa ulikuwa unatumika. hata hivyo wanaume wanaotumika wapo wengi atawapata tu.
 
Jamaa haitaj mali ya mwanamke mana yy anajitosheleza,hv kwel wanaume mkiombwa mzae na wanawake ambao haWajabahati kuolewa mtakataa?sasa wanawake walokosa wanaume wasipate watoto maisha yao yote??jamaani kuweni serious hapa!!
 
wanawake wa aina hii ni hatari sana. Ukimzalisha tu apate idadi ya watoto anaotaka, ukurasa wa uhusiano na wewe unafutwa kabisa. na watoto inakuwa mali yake. hapo ndio utajua kuwa ulikuwa unatumika. hata hivyo wanaume wanaotumika wapo wengi atawapata tu.

Ni kweli kabisa mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Jamaa haitaj mali ya mwanamke mana yy anajitosheleza,hv kwel wanaume mkiombwa mzae na wanawake ambao haWajabahati kuolewa mtakataa?sasa wanawake walokosa wanaume wasipate watoto maisha yao yote??jamaani kuweni serious hapa!!

Kwanza Mwanamke kukuona wewe ndio wa kumzalia mtoto tu na ingali una familia na watoto wanne ni dharau kubwa,Amekuonaje weye? kwanini hakuolewa miaka yote hiyo,ungetupa sababu. Na kwanini asitafute Mume azae na kuishi naye walee watoto?
 
Kwanza Mwanamke kukuona wewe ndio wa kumzalia mtoto tu na ingali una familia na watoto wanne ni dharau kubwa,Amekuonaje weye? kwanini hakuolewa miaka yote hiyo,ungetupa sababu. Na kwanini asitafute Mume azae na kuishi naye walee watoto?

very good Gazaniga, naona atakuwa yeye mwenyewe, ila anatumia rafiki yake
 
Jamani hyo mwanamke amesbl aolewe ameshndw sasa ashindwe hata kuzaaa?mana umri unamtupa,pili ana haki. ya kuchagua dume la kuzaa nae ,mbona ss wafgaji tnachagua madme ya kupanda majike?
 
kwa hiyo umekubali au umekataa au unanifikiria ofa yangu

Nimekwambia upate kibali kutoka meza Kuu, Mkuu akikuruhusu uzae na mie kipingamizi kingine ni kipi...?
Kazi kwako
 
Back
Top Bottom