nawaomba watanzania wote mlipo muntafute kilanja mkuu anatafutwa na atuambie mbona ni mtoro darasani,mahudhurio yake yatamfanya afukuzwe shule huyu ni
jakaya mrisho kikwet anatokea bagamoyo mara ya mwisho alionekana brazil wakati darasani walikuwa wanazomeana yeyote atakamuona alipo
amjulishe mwenzakemaana shule haina kilanja na akishapatikana
tumuulize kwa nii asifukuzwe shule kwa utoro.
Naomba kutangaza zawadi nono ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae.:a s 41::a s 41:
jakaya mrisho kikwet anatokea bagamoyo mara ya mwisho alionekana brazil wakati darasani walikuwa wanazomeana yeyote atakamuona alipo
amjulishe mwenzakemaana shule haina kilanja na akishapatikana
tumuulize kwa nii asifukuzwe shule kwa utoro.
Naomba kutangaza zawadi nono ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae.:a s 41::a s 41: