Anatafutwa msichana mwaminifu

MAONO BOY

Member
Joined
Jul 13, 2014
Posts
24
Reaction score
2
Nahitaji mwanamke aliyemaliza kuanzia kidato cha nne na kuendelea ambaye nimwaminifu ili niweze kumuajili kwenye DUKA LA M-PESA na TIGO- PESA MAKUMBUSHO-Dar. sifa zake 1 uaminifu 2.umri miaka 20 na kuendelea 3.mchapa kazi. malipo ni maelewano kati yangu na yeye. Kama akipatikanika wa makumbusho itakuwa vyema zaidi MAWASILIANO NI 0719526860
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…