Anatafuta Kazi

Anatafuta Kazi

Sophia bavuma

Member
Joined
Jan 12, 2012
Posts
66
Reaction score
6
Za siku wana JF nashukuru mimi na shida natafuta sehemu ya kufanya kazi maisha yamekua magumu. Mimi nimesomea masomo ya Secretary hata Stationary nitafanya.

Msaada jamani ni muda sijafanya kazi.
 
Mi nina shida na msichacha wa kufanya kazi kwenye Barbershop!!!!
 
Za siku wana JF nashukuru mimi na shida natafuta sehemu ya kufanya kazi maisha yamekua magumu. Mimi nimesomea masomo ya Secretary hata Stationary nitafanya.

Msaada jamani ni muda sijafanya kazi.
Ni-pm namba Yako!
ntajusaidia kukuunga na dada mmoja alikuwa anahitaji mtu wa stationary maeneo ya posta!
 
unawajibu hovyo waajiri wako eenh?

una umri gani binti?
nimemjibu ivyo maana nimepost kitu ampacho nilitegemea watanisaidia ndio kwanza wananinanga na maneno mabaya.
huyo hajui kwa nini nimepost natafuata mfanyakazi ili mimi nitafauta kazi pia.
 
Huyu mdada mbona ana jeuri kama kondoo dume! sasa kama ukimpata huyo mfanyakazi wa ndani utamlipa nini wakati mwenyewe huna kazi? nyambafu kauzu.
 
nimemjibu ivyo maana nimepost kitu ampacho nilitegemea watanisaidia ndio kwanza wananinanga na maneno mabaya.
huyo hajui kwa nini nimepost natafuata mfanyakazi ili mimi nitafauta kazi pia.

maadili huna dada, endapo ungekuwa na majibu mema dada mbele ya maswali mabovu na kwa maswali mazuri pia,

hakika watu wangeona tolerance yako, ndio maana waajiri wengi wanatafuta wafanyakazi wanaoweza kuhimili mazingira ya pressure kubwa na yale yasiyo ya presha...

hebu tulia kwanza, jifanyie performance appraisal, una nini mpaka hapo? unaweza kuzalisha nini kwa knowledge yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom