Anasema yeye bila goli 5 asikii chochote

Anasema yeye bila goli 5 asikii chochote

Magoli matano unamanisha nini.....utoto au ujinga?

Kuna goli ndani ya dk 3 x 5 = dk 15

Goli ndani ya dk 10×5=dk50

Goli ndani ya 30min

Goli ndani ya 50 min

Sasa tuchukuwe goli ndani ya dk 30 x 5=dk 150 masaa mawili au matatu

Goli ndani ya dk 50 x 5 = 250 masaa manne mnapandana tu.....kweli!

Sometimes nyie watoto msilete mada za kitoto hapa

Wapo wanapiga goli moja dk 60, SAA moja yakiwa matano maana yake mkianza kupandana SAA moja asubuhi mpaka SAA saba mchana mnato.MBA.na tu? Hii ndio hoja yako?

Does this make sense to you?
nimeipenda
 
Tano? Itakua mnapiga cha kuku... Goli moja kila baada ya dk 1-3, kwa wastani unatumia dakika 15 kwa goli tano. Wakati mwanamke ana wastani wa kufika kileleni dakika 20..kwahiyo ili aridhike ni goli 7+...

Kipimo sio idadi ya goli bali ni muda. Acheni viepe jamani.
- Satan -
 
Tano? Itakua mnapiga cha kuku... Goli moja kila baada ya dk 1-3, kwa wastani unatumia dakika 15 kwa goli tano. Wakati mwanamke ana wastani wa kufika kileleni dakika 20..kwahiyo ili aridhike ni goli 7+...

Kipimo sio idadi ya goli bali ni muda. Acheni viepe jamani.
- Satan -

Umenena mkuu
 
Tano? Itakua mnapiga cha kuku... Goli moja kila baada ya dk 1-3, kwa wastani unatumia dakika 15 kwa goli tano. Wakati mwanamke ana wastani wa kufika kileleni dakika 20..kwahiyo ili aridhike ni goli 7+...

Kipimo sio idadi ya goli bali ni muda. Acheni viepe jamani.
- Satan -
Tatizo mnajiongeza ka ni nyie ndo mpo mchezoni acha nicheke tu.
 
Naomba kuuliza hili jambo ni sawa au huyu mdada ana appetite isio na kipimo.

Kuna mrembo mmoja kwenye kugegedana kila ukipooza anafyona fyona na kulalamika. Kama mara mbili haya yamenikuta kumuhoji na kumuuliza anasema yeye bana chini ya goli 5 ajasikia chochote, Mbaya zaidi pindi kidume nafunga goli ndo naona nyavu ilee utasikia acha izo usifunge goli kwanza duh!.

Mbaya zaidi ni toto zuri na la haja limejaaliwa na kiuno kina shanga ila balaa lake ndo ilo na nilijaribu kufikia hizo 5 ila bado anataka kuendelea.

Ndo mnafunzwa kuja kutukomoa kitandani namna hii mana huku nikukomoana sio kupenda tendo aisee!.

Ushawai kukutana na mtu kama huyu?
Dah mkuu ntumie no yake naona atanifaa sana mi kwa ugwadu nilionao atanikimbia
 
Naomba kuuliza hili jambo ni sawa au huyu mdada ana appetite isio na kipimo.

Kuna mrembo mmoja kwenye kugegedana kila ukipooza anafyona fyona na kulalamika. Kama mara mbili haya yamenikuta kumuhoji na kumuuliza anasema yeye bana chini ya goli 5 ajasikia chochote, Mbaya zaidi pindi kidume nafunga goli ndo naona nyavu ilee utasikia acha izo usifunge goli kwanza duh!.

Mbaya zaidi ni toto zuri na la haja limejaaliwa na kiuno kina shanga ila balaa lake ndo ilo na nilijaribu kufikia hizo 5 ila bado anataka kuendelea.

Ndo mnafunzwa kuja kutukomoa kitandani namna hii mana huku nikukomoana sio kupenda tendo aisee!.

Ushawai kukutana na mtu kama huyu?
Huo muda wa kupiga hizo goli 5 Mimi nimeingiza 20000 halafu ole wako kesho uje kuniomba kahawa nakutoa nduki maana wakati we unapiga magoli sisi tunachakalika
 
Huyi dawa yake ni vumbi la congo tu..
Unapiga show masaa mawili bila kupiga la 1 lazima aombe poo mwnyewe
 
Tatizo lako tako tatu tu wazungu haooo,ukimpiga shoo moja ya kiroho mbaya unaweza ukapiga mbili tu asihiitaji hizo tano
 
Huyo hanifai hata kdogo cuz kwa Sku nzma mm huwa nafunga mawili tu,lkn la pili huwa ni lakiufundi sana!
 
Magoli matano unamanisha nini.....utoto au ujinga?

Kuna goli ndani ya dk 3 x 5 = dk 15

Goli ndani ya dk 10×5=dk50

Goli ndani ya 30min

Goli ndani ya 50 min

Sasa tuchukuwe goli ndani ya dk 30 x 5=dk 150 masaa mawili au matatu

Goli ndani ya dk 50 x 5 = 250 masaa manne mnapandana tu.....kweli!

Sometimes nyie watoto msilete mada za kitoto hapa

Wapo wanapiga goli moja dk 60, SAA moja yakiwa matano maana yake mkianza kupandana SAA moja asubuhi mpaka SAA saba mchana mnato.MBA.na tu? Hii ndio hoja yako?

Does this make sense to you?

Vizuri sana mkuu noana uchambuzi yakinifu
 
Huyoni Mkeo au unafanya naye tu zinaa na uasherati?

Acha zinaa ndugu yangu Chapakila , ikimbie zinaa kabisa ni hatari sana kwa mustakabali wako. Muogope sana MUNGU, na uzishike Amri zake na mafundisho yake. Dini zote duniani zinakataza "zinaa". Kama unataka kuwa na mwanamke na kufurahia tendo la kujamiiana, basi oa na uwe na Mke wa halali kabisa ambaye utafanya naye hilo "tendo" kwa kadiri utakavyo.

Kumbuka hizi starehe za ngono ni zamuda mfupi tu na zinapita, lakini matendo yako yote yanawekwa akiba kwa ajili ya ile siku ya hukumu ambayo itakuja na hakika siku hiyo utalipia mara kila tendo ovu unalolifanya sasa hivi. Hata hivyo hujachelewa bado, unaweza ukatubu na kuacha kabisa zinaa na MUNGU atakusamehe. Kama wewe ni Mkristo soma hii; EZEKEKIELI 18:21-22

KWA MFANO FANYA NDIO UMEOA HIYO MASHINE AMBAYO KILA GAME ANATAKA GOLI KUANZIA TANO, HILO SI BALAA NDANI YA NYUMBA? NDIO MAANA KUNA KU-TEST UKIENDA MADUKANI KUNUNUA KITU LAZIMA UJARIBIE.

n.b: IKIMBIENI ZINAA SIO NZURI
 
Naomba kuuliza hili jambo ni sawa au huyu mdada ana appetite isio na kipimo.

Kuna mrembo mmoja kwenye kugegedana kila ukipooza anafyona fyona na kulalamika. Kama mara mbili haya yamenikuta kumuhoji na kumuuliza anasema yeye bana chini ya goli 5 ajasikia chochote, Mbaya zaidi pindi kidume nafunga goli ndo naona nyavu ilee utasikia acha izo usifunge goli kwanza duh!.

Mbaya zaidi ni toto zuri na la haja limejaaliwa na kiuno kina shanga ila balaa lake ndo ilo na nilijaribu kufikia hizo 5 ila bado anataka kuendelea.

Ndo mnafunzwa kuja kutukomoa kitandani namna hii mana huku nikukomoana sio kupenda tendo aisee!.

Ushawai kukutana na mtu kama huyu?
Kama mtu akikulazimisha mwendo wa maili moja nenda naye maili mbili.
 
Magoli matano unamanisha nini.....utoto au ujinga?

Kuna goli ndani ya dk 3 x 5 = dk 15

Goli ndani ya dk 10×5=dk50

Goli ndani ya 30min

Goli ndani ya 50 min

Sasa tuchukuwe goli ndani ya dk 30 x 5=dk 150 masaa mawili au matatu

Goli ndani ya dk 50 x 5 = 250 masaa manne mnapandana tu.....kweli!

Sometimes nyie watoto msilete mada za kitoto hapa

Wapo wanapiga goli moja dk 60, SAA moja yakiwa matano maana yake mkianza kupandana SAA moja asubuhi mpaka SAA saba mchana mnato.MBA.na tu? Hii ndio hoja yako?

Does this make sense to you?
Mh wewe km hajakuelewa basi akapimwe maana kuna goli tano lkn kila goli dk 10 na goli moja dk 80 halafu dem aseme apigwe tano tena!!! Moja tu na roho yako inapona
 
KWA MFANO FANYA NDIO UMEOA HIYO MASHINE AMBAYO KILA GAME ANATAKA GOLI KUANZIA TANO, HILO SI BALAA NDANI YA NYUMBA? NDIO MAANA KUNA KU-TEST UKIENDA MADUKANI KUNUNUA KITU LAZIMA UJARIBIE.

n.b: IKIMBIENI ZINAA SIO NZURI
Mkuu hoja yako haina mashiko hata kidogo. Hebu nikuulize, hivi umeshawahi kwenda dukani kununua "mkate" halafu ukaumega pale pale dukani na kuuonja kabla ya kuununua??

Nafikiri jibu ni dogo na rahisi kuwa haiwezekani kufanya hivyo. Kama huwezi kuonja kitu kidogo kisicho na thamani kama "mkate" kabla ya kuununua, kwanini umwonje Mwanamke kabla ya ndoa?? Aliyetuumba na kutuweka hapa duniani, alituumba ili tuonjane onjane hovyo?

Ukioa Mwanamke kama huyo ambaye anataka sijui hizo "goli" tano, ni wajibu wako wewe kama Mume ndani ya nyumba kuhakikisha unamridhisha Mkeo. Ndiyo maana imeandikwa; "Ninyi Waume kaeni na Wake zenu kwa akili". Hapa maana yake ni kwamba kama huwezi hizo goli tano, utatumia akili yako na kujifunza namna ya kuzifikia hizo goli tano, maana ipo namna ya kufikia hizo goli tano hata kama hujawahi kufikia.

ANGALIZO:
Tafadhali usiniulize ni namna gani ya kufikisha hizo goli tano, maana siwezi kukufundisha ili undelee kufanya zinaa.
 
Back
Top Bottom