Anasema yeye bila goli 5 asikii chochote

Anasema yeye bila goli 5 asikii chochote

Chapakila

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
290
Reaction score
1,423
Naomba kuuliza hili jambo ni sawa au huyu mdada ana appetite isio na kipimo.

Kuna mrembo mmoja kwenye kugegedana kila ukipooza anafyona fyona na kulalamika. Kama mara mbili haya yamenikuta kumuhoji na kumuuliza anasema yeye bana chini ya goli 5 ajasikia chochote, Mbaya zaidi pindi kidume nafunga goli ndo naona nyavu ilee utasikia acha izo usifunge goli kwanza duh!.

Mbaya zaidi ni toto zuri na la haja limejaaliwa na kiuno kina shanga ila balaa lake ndo ilo na nilijaribu kufikia hizo 5 ila bado anataka kuendelea.

Ndo mnafunzwa kuja kutukomoa kitandani namna hii mana huku nikukomoana sio kupenda tendo aisee!.

Ushawai kukutana na mtu kama huyu?
 
Magoli matano unamanisha nini.....utoto au ujinga?

Kuna goli ndani ya dk 3 x 5 = dk 15

Goli ndani ya dk 10×5=dk50

Goli ndani ya 30min

Goli ndani ya 50 min

Sasa tuchukuwe goli ndani ya dk 30 x 5=dk 150 masaa mawili au matatu

Goli ndani ya dk 50 x 5 = 250 masaa manne mnapandana tu.....kweli!

Sometimes nyie watoto msilete mada za kitoto hapa

Wapo wanapiga goli moja dk 60, SAA moja yakiwa matano maana yake mkianza kupandana SAA moja asubuhi mpaka SAA saba mchana mnato.MBA.na tu? Hii ndio hoja yako?

Does this make sense to you?
 
Magoli matano unamanisha nini.....utoto au ujinga?

Kuna goli ndani ya dk 3 x 5 = dk 15

Goli ndani ya dk 10×5=dk50

Goli ndani ya 30min

Goli ndani ya 50 min

Sasa tuchukuwe goli ndani ya dk 30 x 5=dk 150 masaa mawili au matatu

Goli ndani ya dk 50 x 5 = 250 masaa manne mnapandana tu.....kweli!

Sometimes nyie watoto msilete mada za kitoto hapa

Wapo wanapiga goli moja dk 60, SAA moja yakiwa matano maana yake mkianza kupandana SAA moja asubuhi mpaka SAA saba mchana mnato.MBA.na tu? Hii ndio hoja yako?

Does this make sense to you?


umeidadavua vyema sana
 
Huyoni Mkeo au unafanya naye tu zinaa na uasherati?

Acha zinaa ndugu yangu Chapakila , ikimbie zinaa kabisa ni hatari sana kwa mustakabali wako. Muogope sana MUNGU, na uzishike Amri zake na mafundisho yake. Dini zote duniani zinakataza "zinaa". Kama unataka kuwa na mwanamke na kufurahia tendo la kujamiiana, basi oa na uwe na Mke wa halali kabisa ambaye utafanya naye hilo "tendo" kwa kadiri utakavyo.

Kumbuka hizi starehe za ngono ni zamuda mfupi tu na zinapita, lakini matendo yako yote yanawekwa akiba kwa ajili ya ile siku ya hukumu ambayo itakuja na hakika siku hiyo utalipia mara kila tendo ovu unalolifanya sasa hivi. Hata hivyo hujachelewa bado, unaweza ukatubu na kuacha kabisa zinaa na MUNGU atakusamehe. Kama wewe ni Mkristo soma hii; EZEKEKIELI 18:21-22
 
Magoli matano unamanisha nini.....utoto au ujinga?

Kuna goli ndani ya dk 3 x 5 = dk 15

Goli ndani ya dk 10×5=dk50

Goli ndani ya 30min

Goli ndani ya 50 min

Sasa tuchukuwe goli ndani ya dk 30 x 5=dk 150 masaa mawili au matatu

Goli ndani ya dk 50 x 5 = 250 masaa manne mnapandana tu.....kweli!

Sometimes nyie watoto msilete mada za kitoto hapa

Wapo wanapiga goli moja dk 60, SAA moja yakiwa matano maana yake mkianza kupandana SAA moja asubuhi mpaka SAA saba mchana mnato.MBA.na tu? Hii ndio hoja yako?

Does this make sense to you?
Hatar use na stamina vipi uwezi Ku maintain same minutes katika kila show unadhan ukiwa sekta iyo unafanya calculations za mathematics?
 
Hatar use na stamina vipi uwezi Ku maintain same minutes katika kila show unadhan ukiwa sekta iyo unafanya calculations za mathematics?

Elezea socially tukuelewe hizi tano unapigaje

Jumatatu moja

Jumanne moja

Jumatano moja....ijumaa

Ulikuwa na maana hiyo?
 
Magoli matano unamanisha nini.....utoto au ujinga?

Kuna goli ndani ya dk 3 x 5 = dk 15

Goli ndani ya dk 10×5=dk50

Goli ndani ya 30min

Goli ndani ya 50 min

Sasa tuchukuwe goli ndani ya dk 30 x 5=dk 150 masaa mawili au matatu

Goli ndani ya dk 50 x 5 = 250 masaa manne mnapandana tu.....kweli!

Sometimes nyie watoto msilete mada za kitoto hapa

Wapo wanapiga goli moja dk 60, SAA moja yakiwa matano maana yake mkianza kupandana SAA moja asubuhi mpaka SAA saba mchana mnato.MBA.na tu? Hii ndio hoja yako?

Does this make sense to you?
hahahaa umetisha
 
Magoli matano unamanisha nini.....utoto au ujinga?

Kuna goli ndani ya dk 3 x 5 = dk 15

Goli ndani ya dk 10×5=dk50

Goli ndani ya 30min

Goli ndani ya 50 min

Sasa tuchukuwe goli ndani ya dk 30 x 5=dk 150 masaa mawili au matatu

Goli ndani ya dk 50 x 5 = 250 masaa manne mnapandana tu.....kweli!

Sometimes nyie watoto msilete mada za kitoto hapa

Wapo wanapiga goli moja dk 60, SAA moja yakiwa matano maana yake mkianza kupandana SAA moja asubuhi mpaka SAA saba mchana mnato.MBA.na tu? Hii ndio hoja yako?

Does this make sense to you?
Nimependa analysis yako mkuu
 
Nimemkumbuka mpendwa wangu Kapeace

Njoo uone Mara za vijana huku
 
Elezea socially tukuelewe hizi tano unapigaje

Jumatatu moja

Jumanne moja

Jumatano moja....ijumaa

Ulikuwa na maana hiyo?
Siku moja round 5 sio ye kufika kishindo hapana anakuesabia wew ukipiz muendelee mpaka ufike la tano.
 
Magoli matano unamanisha nini.....utoto au ujinga?

Kuna goli ndani ya dk 3 x 5 = dk 15

Goli ndani ya dk 10×5=dk50

Goli ndani ya 30min

Goli ndani ya 50 min

Sasa tuchukuwe goli ndani ya dk 30 x 5=dk 150 masaa mawili au matatu

Goli ndani ya dk 50 x 5 = 250 masaa manne mnapandana tu.....kweli!

Sometimes nyie watoto msilete mada za kitoto hapa

Wapo wanapiga goli moja dk 60, SAA moja yakiwa matano maana yake mkianza kupandana SAA moja asubuhi mpaka SAA saba mchana mnato.MBA.na tu? Hii ndio hoja yako?

Does this make sense to you?
We Adolay hatari kea Analysis
 
Back
Top Bottom