Elgibo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 1,067
- 1,518
Udhaifu we wanaume wengi ni kupenda nyamafu, yaani kilichojifia.Kumbe ndio maana. Kama ungekuwa wa dar...... Usingekubali kuchezea akili
Mtu mzima unakubalije kufanyiwa utoto huu?? Mtu mzima unamkaribishaje mtu uliyeonana nae kwa muda mfupi ulale nae??
Unasubiria aje kitandani ndipo uanze kubaka!