faiza zuwer
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 400
- 172
Anataka umtongoze ndio mlanee [emoji4][emoji4][emoji4]
Kumbe wanaume wa mkoan ndo wazubaifu na mahanisi kiasi hki ~Nina umri wa Mtu mzima afu siyo mwanaume wa Dar....
Acha ukum.a wew unatoa kodi gani ww na kwa akili yako unafikiri wote tunaosoma chuo tunategemea kodi yako kafe kule kwa taarifa yako sisomi kwa kutegemea yako pambana na hali yako mpuuzi mkubwa ww kodi na geto langu linahusiana vipi ulitaka niishi kwa b mkubwa wako?Kwahiyo pesa zetu za walipa kodi mnazopata ninyi Kama mikopo ya kusoma, mnatumia kununulia vocha kwaajili ya ufuska pa1 na mageto ili mtombane au sio?
Kwa akili yako fupi kama kimo cha kuku unajiamin kuwa nimaishi kwa kutegemea kodi yako wew unashindwa kutafakari ni watu gani wanaokula kodi yako unaanza kuleta habari za mwanamke alieachika hapaKwahiyo pesa zetu za walipa kodi mnazopata ninyi Kama mikopo ya kusoma, mnatumia kununulia vocha kwaajili ya ufuska pa1 na mageto ili mtombane au sio?
Mdogo wangu umekula cha meru au malawi kuwa na staha kidogo mkuu inaonyesha how empty minded ur what if ni baba yako au ni mama yako una mtusi hviAcha ukum.a wew unatoa kodi gani ww na kwa akili yako unafikiri wote tunaosoma chuo tunategemea kodi yako kafe kule kwa taarifa yako sisomi kwa kutegemea yako pambana na hali yako mpuuzi mkubwa ww kodi na geto langu linahusiana vipi ulitaka niishi kwa b mkubwa wako?
Atakua anajutia. Labda umehisi havutii..nk. Labda wewe ni gentleman nk.. Kwasababu hukum-find tena after ile situation. Pole sana kws kwa kumissWakuu niende kwenye topic
kuna Demu Mmoja ivi tulikutana nae Maeneo ya chuon yeye ni 1st year tulipanda nae gari moja kwenda chuoni katika kupga stori akaniomba namba nikampa baada ya kushuka kwenye kituo cha daladala kila mtu kaenda zake ila cha ajabu kufikia mida ya saa tatu usiku nikapigiwa simu na namba ngeni kupokea aliepga akajitambulisha kuwa ni dada tuliepanda nae daladala moja kwenda chuon na aliomba nionane nae mda ule...
Basi bana kama kawaida kidume sikuload... nikamwambia tuonane maeneo fulani ivi mda c mrefu akanipgia simu kuwa tayar ameshafika..
Kufika nikamkuta kweli mtoto katupia kigauni kifupi na marashi hatari.. Mashalaah ni mtoto kweli..!
Baada ya baada ya salamu mtoto akaniuliza samahani kakangu kwa usumbufu mda ule sikukumbuka hata kukuulizia hata jina lako nikamwambia usjali mi naitwa. .......
Nawe mwenzangu unaitwa nan akinijibu anaitwa Neema.
Baada ya utambulisho mtoto akaniuliza kk samahan kwa usumbufu room kwako unakaa na nan?
Kwa bahati nzur nilikuwa peke yng siku hyo nikamwambia nipo peke angu
Akaniambia samahn kk wenzangu wameondoka na funguo unaweza kunihifadhi nilale room kwako?..
Nikasema poa!
tukaongozana nae kwenda rom kwngu baada ya mda wa kulala kufka nikamwonesha pakulala nikamwambia mi nataka nikalale kwa jamaa yangu kama kumpima kumbe nilikuwa nazuga ili kupima imani yake atasemaje kwani ninalo shuka moja la kujifunika akaniambia nisijal tutajifunika wote hilo moja
Hapo kimoyomoyo nikajisemea leo nimepata zari sasa tumeingia kulala nikajisemea hii ndo chance mwenzio nikaanza kumpa maneno matamu huku nikimtomasa kwa utundu cha ajabu mtoto hanielewi mara akaanza kulia na kuanza kusema wenzangu wasingenifungia nisingekuja huku kupata taabu hizi ....
Duu hadi nikajikuta napatwa na huruma na kujutia nilichotaka kufanya nikaona isiwe nouma nikamtuliza baada ya yeye kutulia nakurudi kulala
nikamgeuzia mgongo nikapga usingizi hadi kesho yake asubuhi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndo nikaskia sauti yake ikinisalimia asubuhi na kuniuliza nimelalaje ndo nikastuka baada ya kuamka nikapga mswaki nayeye nikamchotea maji baada ya kuswaki nikamsindikiza nayeye akaenda zake....
Nakumbuka mida tunatoka washikaji tuliokutana nao walinipongeza kwa kuonekana natoka na chombo kikali room kwangu mida ile kwani walijua nililala nacho
Kudadeki kiroho kiliniuma nikikumbuka kilichonitokea sijalamba kitu...
Nikaamua kudeleta namba yake pale pale na kuendelea na mishe zangu
Sikuwaza kumtafta tena....
Cha ajabu zimepita wiki mbili baada ya lile tukio ma yeye hakuwahi kunipigia wala kunitumia sms
Sasa nashangaa leo amenipigia eti analaumu nimempotezea, mara anaomba nimsamehe kwa yaliotokea....
Sasa hapa simuelewi anataka nini....
Je inaweza kutokea kweli akawa anajutia alichokifanya?
Your also empty more than because your making form judgement huwez kumwita mtu usiemjua mdg wako kisa kaweka ID "youngtozy1992" kwa akili yako ningeweka ID ya "oldman1950" ungesema napo kuwa mzee kuwa nakauli nzuri au? Tatzo watanzania tuna akili ya kuamini tunatoyaona kuliko tunayoyajua...Mdogo wangu umekula cha meru au malawi kuwa na staha kidogo mkuu inaonyesha how empty minded ur what if ni baba yako au ni mama yako una mtusi hvi
Umeona sio kwa jinsi alivomwaga povukwa majibu ya mtoa post inaonyesha ana shida mahali
Acha ukum.a wew unatoa kodi gani ww na kwa akili yako unafikiri wote tunaosoma chuo tunategemea kodi yako kafe kule kwa taarifa yako sisomi kwa kutegemea yako pambana na hali yako mpuuzi mkubwa ww kodi na geto langu linahusiana vipi ulitaka niishi kwa b mkubwa wako?