cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 649
Habarini wasomi,
Ninajamaa yangu anataabika sana baada ya kuamua kuuza nyumba yake akasome kuna mbunge mmoja wa chama tawala alimwambia atainunua wakakubaliana bei 30mln,mbunge akaomba namba ya akaunti akapewa na kuahidi kesho angeweka hiyo hela,baada ya hapo zikaanza chenga akawa anamuwekea 1mln kila mwezi na baadae akamblock kwenye simu na meseji alipopatikana akasema alikuwa nje ya nchi hivyo amtumie tena akaunti aweke akatumiwa chenga tena zikaanza,juzi kamwambia atafute mtu amuuzie halafu amrudishie hela yake,ndugu yangu katafuta wateja wale wa mwanzo wanamshusha bei hadi 15mln nayeye tayari keshafanya maandalizi ya kwenda shule na pia alikuwa kesha andaa sehemu ya kuanzisha biashara ya duka la dawa mhimu na alikuwa amehakikishiwa na huyo mbunge afanye maandalizi ya pango na vifaa akiwa tayari atampa hiyo hela mapema,je achukue hatua gani huyu ndugu yangu kwani tayari ana madeni ya gharama za uandaaji wa sehemu ya biashara?
Ninajamaa yangu anataabika sana baada ya kuamua kuuza nyumba yake akasome kuna mbunge mmoja wa chama tawala alimwambia atainunua wakakubaliana bei 30mln,mbunge akaomba namba ya akaunti akapewa na kuahidi kesho angeweka hiyo hela,baada ya hapo zikaanza chenga akawa anamuwekea 1mln kila mwezi na baadae akamblock kwenye simu na meseji alipopatikana akasema alikuwa nje ya nchi hivyo amtumie tena akaunti aweke akatumiwa chenga tena zikaanza,juzi kamwambia atafute mtu amuuzie halafu amrudishie hela yake,ndugu yangu katafuta wateja wale wa mwanzo wanamshusha bei hadi 15mln nayeye tayari keshafanya maandalizi ya kwenda shule na pia alikuwa kesha andaa sehemu ya kuanzisha biashara ya duka la dawa mhimu na alikuwa amehakikishiwa na huyo mbunge afanye maandalizi ya pango na vifaa akiwa tayari atampa hiyo hela mapema,je achukue hatua gani huyu ndugu yangu kwani tayari ana madeni ya gharama za uandaaji wa sehemu ya biashara?